Waziri 'ajitundika' ATCL...................

Waziri 'ajitundika' ATCL...................

Hivi hili shirika lipo kweli hata ndege zake sizioni

Njoo Arusha kwenye ofisi za Air Tanzania Boma Rd uwaone wafanyakazi wao wamekaa ofisini wanasukana nywele ndipo utajua kama kuna shirika la Air Tanzania! Huyu waziri anakazi kubwa sana ni sawa na kufufua maiti:embarrassed:
 
Magufuli kamtoa mrema ije kuwa huyu kuinyanyua atcll..yetu macho
 
Anaweza jamani
tumpe muda ingawa mawaziri wote waliopita walikuja na usemi huo huo
mh waziri labda nikukumbushe kitabu cha biblia kuna mtu anaitwa nuhu
huyu bana aliambiwa atengeneze safina alipomaliza akaambiwa aweke watu sahihi kwenye safina bila kumjali mjomba mama shangazi,mwisho wa siku mungu ndie alieifunga safina na sio nuhu kwa kuwa alijua angemwachia nuhu afunge angejaza mjomba shangaz mamkubwa mdogo..hili sio nakutisha ila ni hali halisi atcl inaitaji uongozi sahihi..na si kuangalia mjomba,mates,shangazi mamkubwa..akika safina itadondoka huku tumesimama..atupedni itokee hivyo na twatamani kuona atcl ikishaini uko mbele lakini kuna mambo mengi unaitaji kufanya ili kuikomboa atcl na sio tu kwa maneno..kama ni maneni basi waziri kawambwa angekuwa na air-kawambwa leo hii jinsi alivyokuwa akiiongelea atcl itakuwa hivi vile..

Una kazi kubwa na ndefu sana kuikomboa atcl na pengine itafika wakati wa kuweka rehani kazi yako mpya ili kuona atcl ikiwa inashaini nikiimaanisha aijalishi itafika muda pengine marafikizako unaitaji kuwakana kwa ajili ya atcl

POLITICS
Mh WAZIRI KUMEKUWA NA SIASA SANA SANA KWENYE SWALA LA ATCL NA KUACHA UKWELI UKIANGAMIZA SHIRIKA KAMA UKO SIRIAS NAJUANI VIGUMU SANA KUINYANYUA KWA MDOMO INAITAJI UJIKANE KWELI KWELI ILI SHIRIKA LICHAPE MWENDO


nakutakia kila la kheri kwenye shuguli mpya lakini gazeti moja la jana limenstisha sana maneno yenu nyie mawaziri wapya
 
Serikali ilishajivua kufanya biashara, cha kufanya hapa waiombe Precision watumie bendera ya Taifa kwenye ndege zake na Route zote za ATCL zikabidhiwe Precision. Kuruhusu kampuni inayofanya hasara ipunguze mapato ya kampuni inayofanya faida ni kupunguza mapato ya serikali yanayotokana na kodi ya mapato

Watumie bendera ya taifa ili iwe nini? Kwani ni lazima tuwe na shirika la ndege linalomilikiwa na serikali?
 
Why kiwanja kingine huko Msonga - Bagamoyo? Kwanini wasiimalishe Uwanja wa Dar na ile airstrip ya Mwanza?
Hiko kiwanja cha Bagamoyo ni upotezaji wa rasilimali maana kitakuwa white elephant hamna ndege itakayotua Dar (JNIA) halafu ipae halafu itue tena Bagamoyo! Bagamoyo wanahitaji bandari na vitu vingine kama hospitali na chuo!
 
nalitakia kila heri shirika la kizalendo ATCL.... natumai mambo yatakuwa safi na tutang'aa zaidi na zaidi
 
Dawa ya atcl ni kuondoa uongozi waote kuanzia wa nchi hadi mfagiaji na kuanza upya ndo kidogo inaweza kupambana na kq!
 
Watumie bendera ya taifa ili iwe nini? Kwani ni lazima tuwe na shirika la ndege linalomilikiwa na serikali?

Inaelekea hujawahi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania. Unapokuwa kwenye mkutano wowote nje ya nchi kuna kuulizana umekuja na ndege gani - wa Kenya atasema Kenya Airways, wa Ethiapia atasema Ethiopian Airways, Uarabu Emirates, Rwanda Air Rwanda wewe Mtanzania utatajia labda Ethiopian Airways - swali linalofuata "Dont you have yours?"
 
Back
Top Bottom