MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Usijekuta alikuwa anajaribu kufuata nyendo za MACHEMLI.
Ls man-19:34 Today-
Kama kuna mtu ana gazet la mtanzania(kma sikosei)habr hii imeandikwa vzr zaidi, kuwa wazr aliingia na mtu kulala, na taarifa zilipofika polic wazr akataka zisiwe puplic!! Ili kutunza hadhi yake,,, hii nchi bwana michepuo diliiii
so alijifanya baby anapenda kunyonyaaa... safi sana!
Mboni kicheko? Hivi umesahau ukipinda kona ukachepukia barabara yenye tope na mashimo kuna faida na hasara?Utafika haraka lakini angalia spring za gari yako!
Na pili yake amechukua haki yake yaani kodi yake na part ya keki ya Taifa,upo?
weka picha
Na Waandishi wetu
8th June 2014
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, anadaiwa kuporwa vitu mbalimbali zikiwamo nguo pamoja na fedha, wakati akiwa amelala kwenye moja ya nyumba za kulala wageni iliyoko mjini Bariadi mkoani Simiyu.
Habari zilizoifikia NIPASHE Jumapili jana zilisema uhalifu huo dhidi ya Waziri ulifanywa usiku wa kuamkia jana.
Akithibitisha habari hizo Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, Charles Mkumbo, alisema Dk Kamani ambaye ni mbunge wa jimbo la Busega (CCM) pia Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo, aliibiwa usiku wa kuamkia jana.
" Ni kweli tukio hilo lipo. Lakini nipigie simu baadaye kwa sababu nipo kwenye kikao" alisema Kamanda Mkumbo.
Chanzo chetu ndani ya nyumba hiyo kilieleza kuwa vitu vilivyoibwa ni pamoja na nguo, kadi za benki na fedha taslimu, lakini kilikataa kutajwa gazetini.
Inadaiwa Waziri huyo alibaini kuwapo kwa wizi huo alipoamka asubuhi, na hivyo kutoa taarifa katika kituo cha polisi kwa ajili ya ufuatiliaji.
Jitihada za kumtafuta Dk Kamani hazikufanikiwa kwa vile simu yake japo iliita kwa muda mrefu lakini haikuwa na majibu.
CHANZO: NIPASHE JUMAPILI
Hapo kwenye RED nadhani umegeuza kalenda juu chini:A S-confused1:
Usijekuta alikuwa anajaribu kufuata nyendo za MACHEMLI.
Jimboni kwake kalala guest nyumba yake kalala nani?
Hakujifunza kwa Adam Malima? Hawa watakuwa ndugu na Malima!!! Mnawapangisha macd wenyewe wakiwaliza mnaaza lia lia!!