namlexink
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,434
- 945
alikua na ch.... A,,,, n.....g...u... Do............a.........jimboni kwake kalala guest nyumba yake kalala nani?
alikua na ch.... A,,,, n.....g...u... Do............a.........jimboni kwake kalala guest nyumba yake kalala nani?
Siyo nyendo za yule kepteni mstaafu, aliyetishia kwenda msituni,ikiwa ile topic yake, haitapigwa STOP!!Usijekuta alikuwa anajaribu kufuata nyendo za MACHEMLI.
Absolutely true!Huwezi kupewa kazi ya umma halafu unaishi kihunihuni mabarabara yapo tele ............ By J NYERERE .My take Mheshimiwa anapaswa kujiuzulu kwa mujibu wa baba wa Taifa mwasisi wa ccm.
Huo usingizi unaitwa wa PONO plus PORNOGRAPHY activities!!labda kama alikuwa ametoka chumbani hivi unalala fofofo mpka mtu anaingia chumbani anakwiba kila kitu husikii?? usingizi gani huo?
Huo usingizi unaitwa wa PONO plus PORNOGRAPHY activities!!
Picha ya mchepuko ukisevu na viwalo?weka picha
Gazeti la Nipashe siku ya Jumapili ndio linaitwa Nipashe Jumapili,sasa usiniulize kuhusu la jumatatu,jumanne n.kHapo kwenye RED nadhani umegeuza kalenda juu chini:A S-confused1:
Jimboni kwake kalala Guest!!???? Kweli serikali ya chama cha malaya!! unakumbuka Malima aliibiwa na Changu morogoro!!Na Waandishi wetu
8th June 2014
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, anadaiwa kuporwa vitu mbalimbali zikiwamo nguo pamoja na fedha, wakati akiwa amelala kwenye moja ya nyumba za kulala wageni iliyoko mjini Bariadi mkoani Simiyu.
Habari zilizoifikia NIPASHE Jumapili jana zilisema uhalifu huo dhidi ya Waziri ulifanywa usiku wa kuamkia jana.
Akithibitisha habari hizo Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, Charles Mkumbo, alisema Dk Kamani ambaye ni mbunge wa jimbo la Busega (CCM) pia Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo, aliibiwa usiku wa kuamkia jana.
" Ni kweli tukio hilo lipo. Lakini nipigie simu baadaye kwa sababu nipo kwenye kikao" alisema Kamanda Mkumbo.
Chanzo chetu ndani ya nyumba hiyo kilieleza kuwa vitu vilivyoibwa ni pamoja na nguo, kadi za benki na fedha taslimu, lakini kilikataa kutajwa gazetini.
Inadaiwa Waziri huyo alibaini kuwapo kwa wizi huo alipoamka asubuhi, na hivyo kutoa taarifa katika kituo cha polisi kwa ajili ya ufuatiliaji.
Jitihada za kumtafuta Dk Kamani hazikufanikiwa kwa vile simu yake japo iliita kwa muda mrefu lakini haikuwa na majibu.
CHANZO: NIPASHE JUMAPILI
DAFTARI LA WAGENI LA NYUMBA HIYO LICHUNGUZWE , utakuta MPANGAJI WA CHUMBA HAKUWA YEYE .
Usijekuta alikuwa anajaribu kufuata nyendo za MACHEMLI.
Jimboni kwake kalala guest nyumba yake kalala nani?
Another rap..............
.......:.. By museven.