Umenena vyema mkuu wa bod hiMkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.
Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.
Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.
Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.
Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.
Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Alioa lini?Kuna mchaga wa rombo anaishi mabibo karibu na chuo cha NIT alioa sehemu hela iko akapewa 2 kama kianzio cha maisha yeye na mkewe sasa kadei siku zinaenda za ndio yanazidi kuongezeka(huyo esta ni jina la mwanae wa kike ambaye alikufa kifo cha kutatanisha na alipoenda kuzikaa baba yake hakuhudhuria alipiga chenga fulani ndugu wakaamua kuzika wenyewe)kilichofuata !!!!!naomba niishie hapo vya watu havisemwi
Ngoja nilinde kiapo changu
Ushahidi kuwa ni bus zake uko wap
Hata kama ni yeye kwa nafasi aliyonayo hashindwi kupata mkopo kununua mbona hamshangai vijana kazin mwaka 1 ndinga ya mil 30 mtu ana sukuma sembuse waziri tena wa fedha 🙂
Naunga hoja mkono. Kama mleta mada anaona kuna tatizo la matumizi mabaya ya ofisi afate taratibu aweke huo uozo kama ni jambazi lijulikane. Kinyume na hapo ni yale yale ya kufikiri mm ni masikini sababu naibiwa na tajiri.Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.
Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.
Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.
Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.
Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.
Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.
Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.
Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.
Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.
Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.
Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Kukubali si mpaka ziwe zake kweliAnakubali kuweka wazi umiliki wake? Alipata huo utajiri kutoka chanzo gani? Maana anafahamika anatoka kwenye umasikini, na hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya muajiriwa serekalini.
Vipi kama ni mambasi ya mama? Huwatakii mema hao TISS. Hujui kuwa mama yupo juu ya sheria?TISS msaidieni mama..,.
Kukubali si mpaka ziwe zake kweli
Hata kama ni kweli shida iko wap mtu yupo serikalini zaidi ya miaka 10 vitengo nyeti ana kopesheka shida iko wap mtaani huku watu mwaka 1 tu kazin mkopo nyumba na gari itakuwa waziri 🙂
tiss hawana huo muda. kwa sasa wapo busy kufatilia watu wanaoanzisha mijadala ya tozo.Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Ametoa Burundi.
Sasa utajiri wake ataweka hapa jf mzeiyaa 😀 ukitaka kuujuwa si kuna sehemu ya kwenda kuuliza na kuna taratibu zake 🙂Hakuna anayekataa yeye kuwa tajiri, bali aweke wazi asili ya utajiri wake, sio anapokuwa waziri timu ya kwao inang'aa, ila akipoteza uwaziri timu inayumba.
Sasa utajiri wake ataweka hapa jf mzeiyaa 😀 ukitaka kuujuwa si kuna sehemu ya kwenda kuuliza na kuna taratibu zake 🙂
Aliekuambia kua tajiri ni muda nani? Esther zipo zaidi ya miaka 15Hakuna mtu atakayeshangaa Abood au Shabiby kuagiza mabasi, ni matajili kabla ya kuwa wabunge, huyu Mwigulu Nchemba Kwa miaka 10 tu kapata wapi huo utajili?
Na kuna hadi coaster zinapiga ruti dar moro 😀Aliekuambia kua tajiri ni muda nani? Esther zipo zaidi ya miaka 15
Nenda brela 😀Hebu niambie sehemu ya kwenda kuuliza, na hizo taratibu.