Wazimbabwe wanamdhihaki Rais wa Tanzania?

Wazimbabwe wanamdhihaki Rais wa Tanzania?

Ni kweli Zimbabwe Zambia Malawi Uganda Kenya kizungu chao kibovu na kibaya zaidi wazungu huwa wanapata shida sana kuwaelewa coz accent ni nzito mno
Kwa Mkulu Uongozi mzima wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje plus Tanzania Embassy Zimbabwe ndio wa kulaumiwa
Mkulu kuzungumza Kiswahili ni haki yake lakini walipashwa kuandaa mkalimali kusudi ujumbe uwafikie wenyeji badala yake wakamgeuza amekuwa kituko
Alipashwa afukuze kazi wote

Ni hivi Mkulu unaowaamini ndio wanaokuharibia
Wanakupaka mafuta na mgongo wa chupa
Unakula nao unacheka nao unawalinda kwa nguvu zote lakini ndio wanaofaidi keki ya Taifa kuliko vipindi vyote nyuma.
Wanawatesa sana wananchi
Bashite
Palamagamba
........list goes on and on and on
Sasa Tanzania kuna kingereza gani? Acheni kujifaliji bandugu, au mlimuambia aanze huko kwa kuwa hawajui kama yeye,? Na amini sasa Ben Saanane alikuwa anajua ukweli wa jamaa kuwa shule hamna kabisa.
 
English nzuri waitoe wapi wazimbambwe watu wenyewe 'the' wanatamka 'zeh' wana accent mbovu aijawahi tokea duniani ata ya Magu nzuri.

Mwisho siku liwe somo kwa wahusika wanatakiwa kuchukua precaution measures zote kuakikisha raisi adhiakiwi kwa uzembe wa mipango yao.

I blame Prof Kabudi
kuakikisha = kuhakikisha
adhiakiwi = hadhihakiwi.
Iwapo Kiswahili chenyewe hamuwezi kuandika, hicho Kiingereza je!!!?
JF anzisheni tuition ya Kiswahili.
 
Nakumbuka hata Jk alipoingia madarakani alikuwa na Poor English, lakini kadiri siku zilivyokuwa zinaenda alikuwa ana improve . huyu wameshindwa kumpiga msasa angalau cha kuombea maji tu? Dar hapo kuna wale jamaa wa English Fountain kama wapo, ameshindwa kuwaita kama ameshindwa yeye kwenda angalau jioni?
Huyu ni much know
 
Acheni ushamba kujua kiingereza sio dili kwanza sikuhizi ni kama zilipendwa miaka ya tisin hiyo walikuwa wanaonekana wajanja kipindi hicho ata ukimuona mzungu njiani unaona kama kitu cha ajabu ni vyema tukosoe vitu vyenye tija vya maendeleo kwa taifa wadau
 
Wazimbabwe wajue hilo ni zao la kuvuja kwa pakacha la ccm ikawa nafuu kwa mchuzi mkapa sio chaguo la wananchi.
 
Sio mbishi, ana kichwa kugumu kama kinavyoonekana.
Jakaya alijitahidi kumfundisha kwenye ndege na kwa hotel

Lakin mshikaji mbishi sana anabshana hadi na teacher !

Jk akazira.....

ndo tunayaona haya ya caritarist

Catalyst
 
Tuisifu lugha yetu sio ya watu.tumkosoe rais ktk masuala mtambuka km ya maendeleo hyo lugha haihusian na. Maendeleo ya nchi yetu
So what, kama ni lugha ya watu kwanini usiongee kiswahili mwanzo mwisho
 
Kwa kifupi hili jiwe wangeliacha likae ndani tu huko nje ni aibu.
Ni kweli Zimbabwe Zambia Malawi Uganda Kenya kizungu chao kibovu na kibaya zaidi wazungu huwa wanapata shida sana kuwaelewa coz accent ni nzito mno
Kwa Mkulu Uongozi mzima wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje plus Tanzania Embassy Zimbabwe ndio wa kulaumiwa
Mkulu kuzungumza Kiswahili ni haki yake lakini walipashwa kuandaa mkalimali kusudi ujumbe uwafikie wenyeji badala yake wakamgeuza amekuwa kituko
Alipashwa afukuze kazi wote

Ni hivi Mkulu unaowaamini ndio wanaokuharibia
Wanakupaka mafuta na mgongo wa chupa
Unakula nao unacheka nao unawalinda kwa nguvu zote lakini ndio wanaofaidi keki ya Taifa kuliko vipindi vyote nyuma.
Wanawatesa sana wananchi
Bashite
Palamagamba
........list goes on and on and on
 
Basi andika kwa Lugha unayoijua kuliko kuharibu Lugha ya watu. Lugha huwa ni sehemu ya tunu za Taifa. Kuiharibu ni fedheha.
Kumbuka Rebman na Krapf walikuwa ni Wajerumani. Kwa kujifunza Kiswahili fasaha walituachia Kamusi nzuri.
Lugha ya uandishi ni spelling as well as punctuation mwalimu neno lugha ni (common noun) aliandikwi kwa capital letter likiwa ndani ya sentensi.

Have a good day wewe andika uwezavyo na mimi ntaandika niwezavyo kwenye forum, usijafanye mwalimu wakati punctuation shida.
 
Yaani PhD holder ambaye kwa mitaala yetu amesoma kiingereza(kuandika,kusoma na kuongea) kwa zaidi ya miaka 20 na bado ni mwalimu wa kemia na hisabati kitaaluma na amefundisha masomo hayo sekondari halafu haijui hiyo lugha na ni rais wa nchi ambaye alifukuza watu kwa kufoji vyeti kisha yeye tusimuhoji? Uko serious mkuu?
Acheni ushamba kujua kiingereza sio dili kwanza sikuhizi ni kama zilipendwa miaka ya tisin hiyo walikuwa wanaonekana wajanja kipindi hicho ata ukimuona mzungu njiani unaona kama kitu cha ajabu ni vyema tukosoe vitu vyenye tija vya maendeleo kwa taifa wadau
 
Back
Top Bottom