Jisemee nafsi yako. Wewe na nani?
Usiweke fikra zako kama ndiyo mwanvuli wa fikra za Wazee wote.
Mbona ww uliwasemea vijana na wazee...
Sisi tunasema tena Lowasa atosha, hutaki kale malimao...
Jisemee nafsi yako. Wewe na nani?
Usiweke fikra zako kama ndiyo mwanvuli wa fikra za Wazee wote.
Ndugu,
Wewe endelea kuamini unachokiamini lakini na mimi ninacho kile ninachokifahamu kwa sababu CCM imeanza kujiandaa kwenye uchaguzi huu baada ya uchaguzi wa 2010 kumalizika.
Hii ni sawa na mwanafunzi ambaye amejiandaa vizuri kwa miaka minne kukabiliana na mtihani wa kidato cha nne ambao anategemea kufanya baada ya mwezi mmoja.
Kauli yangu iko palepale, Lowassa hashindi huu uchaguzi.
Kanisemea na mimi. Lowassa anatosha. Waambie hao wazee wenu wa Lumumba wakilazimisha ushindi kweli patachimbika tumechoka kuona upumbavu wa unaowaita wazee ukiendelea. Tanzania bila Ccm inawezekana sana tu.Jisemee nafsi yako. Wewe na nani?
Usiweke fikra zako kama ndiyo mwanvuli wa fikra za Wazee wote.
kuangalia jina tena id fake ya JF na kuwa na hitimisho kuwa huyo mtu anatoka wapi ni ufinyu wa fikra mkuu. sitoki huko unapokutaja wala sina chimbuko la huko. na hii inaendelea kudhihirisha ni kiasi gani umekosa hoja na kuanza kubagua watu.Kamanda Moshi binafsi nikiona majina ya hii hata kabla hujaweka maoni yako nayajua.Maana ajenda yenu inajulikana tangu Uhuru.Tatizo lenu jingine mna vichwa ambavyo ni "One direction-programmed".Unazungumzia Upendeleo,rushwa ndani ya CCM.Mbona ninyi chama Hakina demokrasia hata fake,ufisadi wa ruzuku na misaada ndo usiseme.Chama mmebebana ndugu wachagga tupu then eti na nyie mnaona madhaifu ya wengine.Mnajitoa sana akili ndo maana nasema hakuna kijana makini anayewaunga mkono labda anayetoka Arusha na Moshi.
Ni wazee kwa sababu hawa hutawaona kwa wingi katika hamasa za mikutano ya kisiasa au maandamano lakini siku ya uchaguzi kwa sababu hakuna purukushani nyingi watajikongoja wenyewe na wengi wanapiga kura mapema na kuamua hatima ya uchaguzi.
![]()
Idadi ya wazee (miaka 50 na zaidi) - takribani milioni 2.5
Idadi ya Vijana (miaka 18-35) - Takribani milioni 7
Idadi ya Watu wa umri wa makamo (36-50) Takribani milioni 2
Nadhani Lula aangalie tena hiyo conclusion yake. Kwa mantiki hii ratio ya watu wa makamo;wazee;vijana ni kama 1;1;3. tukiwagawa watu wa umri wa kati nusu kwa nusu kwa "wazee" na vijana", tunapata ratio ya 1.5;3.5. Kwenye watu "milioni 24" waliojiandikisha (Hiyo takwimu hapo juu haionyeshi wanatoka wapi), tiasuume wazee wote wasimpigie Lowassa ina maana Lowassa hatapata kura milioni 7.2. Tukiassume pia kuwa nusu ya vijana tu wampigie Lowassa, basi atapata kura 16.8m x 50% = 8.4m
Ina maana kama wazee wote wataenda kupiga kura na wasimchague Lowassa, kisha nusu ya vijana tu wakaenda kupiga na kumchagua Lowassa, Lowassa bado atashinda.
ila kiuhalisia
Sio vijana wote watamchagua Lowassa
Sio wazee wote hawatamchagua Lowassa
Sio wazee wote wataenda kupiga kura
Kwa mwamko ulioonekana mwaka huu, huenda zaidi ya nusu ya vijana wataenda kupiga kura