PostGE2025 Wazee waanza kukosa seat kwenye daladala, GenZ hawana utani

PostGE2025 Wazee waanza kukosa seat kwenye daladala, GenZ hawana utani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
GT
Sasa hali ni tete kila mtu atakula anakopeleka mbegu. GenZ wameamua kuwakomoa wazee wanaotia tia huruma huku wamesimama.

Kitendo cha kushangilia na kupiga makofi mbele ya Samia akijitamba kuua watanzania kimewaudhi sana GenZ. Ngoja tuone mpaka mwisho movie itakuwaje
on saturday i got a little accident , lost my stuffs. so am kindly offline _20251203_174536_0000.png
 
Kuna mzee wa kitaa huwa namsaidia hapa na pale ninapoweza.. Baada ya kunitaarifu kuwa alikwenda kwenye kikao sijui kongamano tena kwa furaha kabisaa...

Nimejiapiza bora afe njaaa au atembee uchi huku namuona siwezi kuendelea kusaidia taahira mimi...😏😏
 
Kuna mzee wa kitaa huwa namsaidia hapa na pale ninapoweza.. Baada ya kunitaarifu kuwa alikwenda kwenye kikao sijui kongamano tena kwa furaha kabisaa...

Nimejiapiza bora afe njaaa au atembee uchi huku namuona siwezi kuendelea kusaidia taahira mimi...😏😏
HUNA UWEZO WA KUSAIDI MTU YOYOTE YULE, UNATAFUTA FEDHA MUDA GANI WAKATI UNAKESH KWENY EMITANDAO KUTUKANA TU HATA WATU AMBAO HAWAKUHUSU.
 
GT
Sasa hali ni tete kila mtu atakula anakopeleka mbegu. GenZ wameamua kuwakomoa wazee wanaotia tia huruma huku wamesimama.

Kitendo cha kushangilia na kupiga makofi mbele ya Samia akijitamba kuua watanzania kimewaudhi sana GenZ. Ngoja tuone mpaka mwisho movie itakuwaje
BABA YAKO AILIEKUZAA ANAYO HASARA KUBWA SAANA
 
MJINGA NI WEWE UNAEKESHA MITANDAONI KUTUKANA HAT AAMABO HUWAJUI .UJINGA ULIOPITILIZA
Mtu mjinga hua anatambulika kupitia matendo yake huna haja ya kutafuta historia yake kumjua ... Jinga lingine ni wewe unaye support ujinga wa kiongozi wako mjinga Kwa ajili ya bahasha yenye elfu iliyowekwa elfu 20

Hizi mbegu za aina Yako zinapaswa kutokomezwa kabisa hazina mchango wowote katika maendeleo ya hili taifa mnajaza idadi ya watu wakati wa sensa
 
HIVI NA WEWE NI KIJANA? KAMA NI KIJANA NA UNAYO MAWAZO YA AINA HII WEWE NI TATIZO KWENYE JAMII
Wazee wengi ni hamnazo mifano ipo mingi kuna wazee hata kuwasha TV na kubadirisha channel hawajui ila ni wanajifanya wajuaji balaa.. simu hizi wazee hawajui kutumia hata namba kusevu mpaka aombe vijana wamsaidie kusevu... still mzee km huyo hawaheshimu vijana ifike hatua wazee wawaheshimu vijana wasiwadharau
 
Kuna mzee wa kitaa huwa namsaidia hapa na pale ninapoweza.. Baada ya kunitaarifu kuwa alikwenda kwenye kikao sijui kongamano tena kwa furaha kabisaa...

Nimejiapiza bora afe njaaa au atembee uchi huku namuona siwezi kuendelea kusaidia taahira mimi...😏😏
Mtupe
 
Acha wafe tu wakipokea afu sabasaba za samuya hawasemi wanabaki wamekenua meno tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom