- Ukisoma article ya Raia Mwema, utaikuta hii habari jinsi Makamba alipeleka hoja ya kutaka Mengi na viongozi wanaomfuasi wathibitiwe na CCM kwa kukigawa chama, ndio chanzo cha Mengi kujibu mapigo kwa kuwataja waliomtuma Makamba, kule CC.
I'll get a copy of this Newspaper then nitafanya ka-research nijue kwa undani.
- Depending na how much evidence you have against unaowatuhumu, ndio maana tuna vyama vya siasa ambako unaweza kwenda kupeleka usahidi wako na wakakusaidia kukupa platform ya kuongelea, this is politics vyombo vya dola haviwezi kunyamazisha sauti ya mwananchi yoyote wa kawaida kama ana ukweli, lakini lazima upitie kwenye ngazi zote zinazohusika, kwanza majukwaa ya siasa, then kwenye sheria otherwise inakuwa ni waste of our time yaani wananchi.
Hapa ndipo ambapo ninaona kuwa bado msimamo wangu una nguvu. Under normal circumstances kila jambo ni lazima lifuate sheria halali za nchi. Wote tunajua kuwa Mengi si mwanasiasa kama alivyo Slaa na wengine, yeye ni kama mimi na wewe. Sasa endapo mimi niingepnda aple maelezo halafu nikawataja kwa majina wa watu ni wahalifu, je unadhani ningeishia wapi? (Turejee kesi ya Mtikila na Magabacholi)
- Sasa ni zamu ya mafisadi kumpeleka Mengi kwenye sheria, ili atoe ushahidi wake ambao ninaamini kwa 100% kwamba anao, yaani this should not even be an ishu, lakini Mengi hawezi kuanza kwenda kwenye majukwa na kuanza kutoa ushahidi ili ufanye nini? Ushahidi hutolewa mahakamani, na ni seriakali ndio yenye dhamana ya kumfungulia mwananchi au kiongozi mashitaka, sio Mengi,
Kuhusu watuhumiwa wa Mengi kwenda mahakamani, litakaloongelewa mahakamani halitakuwa shauri la ufisadi zaidi kuwakashifu. Na endepo Mengi atasema kuwa mimi sikuwajashifu ninao ushahidi dhidi yao, unadhani mahakama itasema haya ulete tuanze kesi? it is obvious ataambiwa apeleke kwenye prosecution department jambo ambalo angeliweza kulifanya sasa kwa manufaa ya watanzania wote.
- Sasa kwa maoni yangu hawa wazee wa Yanga wangekua na hoja kama wangeishinikiza serikali, kupata ushahidi kutoka kwa Mengi na kumfungulia mashitaka Manji,
I think this is a powerful argument inabeba nguvu ya hoja zangu kwa maana kama tumemshinikiza Mengi atoe ushahidi na amekataa, basi tuibane serikali ifanye hivyo kwa niaba ya wananchi.
lakini sio kumlaani Mengi kwa kuwasema mafisadi hadharani na kudai ushahidi hivi hawa mazee wa Yanga kweli wanaweza hata kuuchambua ushahidi wa kisheria hawa?
Wazee wa Yanga ninavyowafahamu ni wazee wenye misimamo mikali kwani kaka wangekuwa ni legelege basi ile klabu isingekuwepo leo hii, nina wasifu kwa maana wana hekima na busara. Ninakumbuka kuwa hawa wazee walishaendesha kesi nyingi tu kwenye mahakama zetu, pale walipohitaji utaalam wa sheria walitumia wakili. Tusiwadharau tukatae hoja zao tu pale inapobidi.
This is a none ishu mkuu, hawa wazee wasubiri mechi ya Yanga na Simba, lakini haya ya siasa na sheria wawaaachie wanaohusika tu!
Thanxs!
FMES!