Wazee wa Yanga wanamtetea Manji!


Mpendanchi na DarkCity,

Hapa jamvini mimi siangalii sura ya mtu wala kusikiliza jina la mtu, ninachozingatia ni hoja yenye nguvu. Kwahiyo mnaponirejea kuwa mimi sielewi mnaniacha hoi kana kwamba kwamba hapa kuna muda maalum wa kujadili hoja na pia ni lazima nielewe hata kama nina mawazo tofauti na wachangiaji wengine. I have my own msimamo na nimeulezea na kutoa sababu ni kwani nini nina msimamo huo. Mimi wakati wote huu wa majadiliano nina heshimu hoja zote za wale ambao ni tofauti na mimi kwani ndiyo zinazonisaidia pia kunifanya nione tofauti hizo.
Inapotoka hoja, basi nitaiangalia kama nina hoja mbadala nitaijibu kama sina nitanyamaza, na hii ndiyo ninafanya wakati wote hapa jamvini.
Please msinichukie au kuniona mtu mbaya ati kwa sababu tu siungi mkono hoja zenu au mkaniona ninatetea mafisadi, la hasha, rejea postings zangu hapo juu nimeeleza msimamo wangu ni upi. Kutofautiana nanti haina maana nina mtetea mtu au watu, hiyo si kazi yangu na wala si kazi ya JF.
Na mara nyingi kama ninaona hakuna haja ya kujibu huwa ninakuwa msomaji tu, nina vigezo ambavyo ninavitumia kuangalia nijibu thread/posting ya mtu. Postings zingine zinakuwa chini ya kiwango kwa hiyo sihitaji kuzijibu nina kula kobis
 

Nina mafua ngoja nikalale kidogo

Stay blessed
 
hiyo babu noma mi mwenyewe leo nimepata mafua na jana nilikula huyo mdudu sijui ndo yenyewe yaani presha inapanda na kushuka pua zimeziba.

Andika wosia baba vile vingine twaweza kurithi kutoka kwako marehemu mtarajiwa hahahahaha
 
Andika wosia baba vile vingine twaweza kurithi kutoka kwako marehemu mtarajiwa hahahahaha

Mkuu nimekuachia shemeji yako...lakini kule mahala usimguse ukimgusa tu yatakayo kukuta shauri yako...alafu lile banda la nyuma lile utamleta ile nyumba ndogo ya Sinza naye akaa pale.
 
Mkuu nimekuachia shemeji yako...lakini kule mahala usimguse ukimgusa tu yatakayo kukuta shauri yako...alafu lile banda la nyuma lile utamleta ile nyumba ndogo ya Sinza naye akaa pale.

Mazee na iwe hivyo!
 

1.
I think this is a powerful argument inabeba nguvu ya hoja zangu kwa maana kama tumemshinikiza Mengi atoe ushahidi na amekataa, basi tuibane serikali ifanye hivyo kwa niaba ya wananchi.


-
Ninaamini kwamba sheria ziko wazi kwamba hata serikali haiwezi kumlazimisha Mengi kutoa ushahidi kwa njia zisizokuwa za kisheria, wanachoweza kufanya ni kusubiri mafisadi wakimpeleka Mengi kwenye sheria kwanza na wao kufuatilia ushahidi na ku-take it from there, lakini sio burden ya Mengi kuwapa wananchi au serikali, ushahidi kwa sababu anajibu tuhuma za waliomtuma Makamba CC.

2.

- Hoja ingekua valid kama Yanga wangekua wamewahi kua mabingwa wa angalau Africa hata mara moja, hawa wazee wametumwia tu na Manji kujaribu kuficha ufisadi wake, cha muhimu hapa ni Manji kuwahi kwenye sheria haraka sana, ili akapewe ushahidi wa ufisadi wake.

Sasa again with all due respect, Mengi hana sababu yoyote kisheria kutoa ushahidi wake kwenye majukwaa ya siasa, ikibidi anatakwia kuutoa kwenye sheria tena wka kuhsinikizwa na madai ya Manji, hawa wazee hawana hoja kabisaa wanatumwia tu na Manji.

Respect.

FMES!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…