Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Sio kaivaa2,aa!...
thats is a msg 2tbs that bora kuvaa makopo kuliko hizo uyoga za kichina!
Huyu msanii, si unaona helmet yenyewe kaifungia hapo mbele ya pikipiki?The guy is sick for sure, doesn't even know the use of helmet!
Ya kichina kavisha taa ya pikipiki! Jamaa anaijali pikipiki yake bana.hahahaaa ndo mana hiyo ya kichina kaiweka hapo mbeleaf yeye kajipigilia kopo lool
aseee kweli hata mi walinikaba wakanipora nokia ya tochi.wengi hawana hata leseniwengi wa madereva wa bodaboda si ndo wale waliokuwa wakitukaba tukitoka kwenye lager usiku.usishangae.
hahahaaaaya kichina kavisha taa ya pikipiki! Jamaa anaijali pikipiki yake bana.