ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,074
- 17,456
Hawana upuuzi.Tanga-Mombasa road iko clear hamna traffic kabisa,I'm cruising at 120kph. Hakuna tochi wala nini kwenye 50kph u anajipimia tu. Upande wa Kenya ndio hawana hata vibao vya speed.
Unahitaji nini kuvuka border na gari kuiendesha Kenya?
