RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,692
- 129,347
- Thread starter
- #18,921
Safari za group huwa zina raha sana.Next week nina trip kutokea Dar es Salaam, hadi Tabora ( kituo - siku moja). Tabora hadi Mwanza ( kituo siku hazijulikani), baada ya hapo tunarudi Dar es Salaam.. Aina ya gari Toyota Alphard




dah inachekesha na kuhuzunisha kwa pamoja huyo dereva alikula pesa ya wese Nini daaah namuonea huruma huyo mjaza mafuta ela yote anakatwa yeye.