Vijiwe vya kula bata havijaongezeka?Saint Anne nakaribia Mbeya, Sina mwenyeji wa kunitembeza na Kunywa nae "juice" pale carnival na pub city.
Kama vipi nipm # ya classmate wako.View attachment 2035826
Kuna Mbeya kwetu pazuri pale Sae .Vijiwe vya kula bata havijaongezeka?
Mara ya mwisho kwenda mbeya kijiwe kilikuwa carnival.
Safari njema mkuu.Saint Anne nakaribia Mbeya, Sina mwenyeji wa kunitembeza na Kunywa nae "juice" pale carnival na pub city.
Kama vipi nipm # ya classmate wako.View attachment 2035826
Kuna nyingine karibu na kabweVijiwe vya kula bata havijaongezeka?
Mara ya mwisho kwenda mbeya kijiwe kilikuwa carnival.
Seat 1 na uendeshaji wa hao jamaa inataka moyo!Saint Anne nakaribia Mbeya, Sina mwenyeji wa kunitembeza na Kunywa nae "juice" pale carnival na pub city.
Kama vipi nipm # ya classmate wako.View attachment 2035826
Mbeya CarnivalVijiwe vya kula bata havijaongezeka?
Mara ya mwisho kwenda mbeya kijiwe kilikuwa carnival.
Mimi mgumu kudaka holela holela. Fanya wepesi mdogo wangu.Safari njema mkuu.
Karibu jiji la neema,
Kamata mwenyeji yeyote,atakutembeza.
Ni Shabiby mkuu, wapo makiniSeat 1 na uendeshaji wa hao jamaa inataka moyo!
Hahaa muwe mnaenda na huko japo mara moja moja tu siyo mbayaUmetisha
Mpo vizuri.Mbeya Carnival
City Pub
Mbeya Pazuri
Horizon
P Son
Ngonga
Pamodz
501
Samaki Samaki
Hope Villa
Viva
Mwailubi
Mpeleke kwenye lile gorofa lenye lift
Acha uchoyo