Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Dooh yaani nilivyokumiss hivi nikijua umepotea kumbe ndiyo wewe tunapishana tu jukwaani kila siku. Nilikuwaga najiuliza tu huyu dada kapotelea wapi siku hizi jamani.

Imebidi nirudi pm kwenye ule mjadala wa siku ile ndiyo kukuta jina limebadilika. Sema umejitahidi kubadili na mwandiko aisee maana nilishindwa kabisa kukutambua yaani.
Ha ha ha pole boo. Watu wanaleta mazoea dia ndo maana nimebadilika.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Karibuni kwetu
IMG_20211204_145814.jpg
IMG_20211204_150217.jpg
IMG_20211204_150123.jpg
 
Back
Top Bottom