miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Ha ha ha pole boo. Watu wanaleta mazoea dia ndo maana nimebadilika.Dooh yaani nilivyokumiss hivi nikijua umepotea kumbe ndiyo wewe tunapishana tu jukwaani kila siku. Nilikuwaga najiuliza tu huyu dada kapotelea wapi siku hizi jamani.
Imebidi nirudi pm kwenye ule mjadala wa siku ile ndiyo kukuta jina limebadilika. Sema umejitahidi kubadili na mwandiko aisee maana nilishindwa kabisa kukutambua yaani.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app