Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,678
- 14,563
Jana ulifanya uvuvi ufukweni, ukapata samaki mkubwa.😀😀😀 huu uchovu wa bed mkuu jana ijumaaa
Jana ulifanya uvuvi ufukweni, ukapata samaki mkubwa.😀😀😀 huu uchovu wa bed mkuu jana ijumaaa
Nimemwona mnyama

Nilikuwa kutembea duniani hukoUkienda wapi
Nimeingia mjini, hakuna foleni ila hapa tabata reli hadi buguruni
Sijui kuna shida gani but tunatembea
Ukifika kigoma naomba lift nirud kwetu IringaNimetoka lindi hadi mbeya kupitia songea kisha mbeya-iringa-dodoma then kigoma kuja tena dom then dom dar then dar lindi gari imetembea si mchezo
Mmmmmh!😀😀😀 huu uchovu wa bed mkuu jana ijumaaa
Nimeshaenda na kurudi mkuuUkifika kigoma naomba lift nirud kwetu Iringa
Mawazo yako tu 😀😀Mmmmmh!
👨🏿🦳👨🏿🦳👨🏿🦳👨🏿🦳👨🏿🦳
Mawazo yangu yanasemaje?Mawazo yako tu 😀😀
yameguna 😀😀😀😅Mawazo yangu yanasemaje?
Basi ni hivyo tuyameguna 😀😀😀😅
Mimi naamini gari usipoigongagonga hovyo body inadumu sana. Gari za siku hizi hazijaundwa kubondwabondwa.
Mwanamke anahitaji vitu viwili anenepe: chakula kizuri na kupendwa vizuri, apate amani ya moyo. Chagua kimoja nikupatie.
Okeyy sawa mkuuNimeshaenda na kurudi mkuu
Njoo upate show ya kibabeBaharia usiye na kazi mbovu twenzetu kuzurula 😆😎View attachment 1976411
Muhimu muhimu hiii.. dk ya 94 + wakajichanganya kipa hayupo gorini wala beki wote walipanda mbele 😀😀😀Jana ulifanya uvuvi ufukweni, ukapata samaki mkubwa.

