Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Anaidhalilisha mbeya🤣Haha Maranatha Hospital bhana
😂huyu akija mbeya nampeleka maranatha,,tupande lift siku nzima.
Halafu Mbeya hakuna lift sana kwa sababu hakuna majengo marefu na hii ni kutokana na sehemu yenyewe ilivyo(Milima)


huyu akija mbeya nampeleka maranatha,,tupande lift siku nzima.