Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Huyo jakata amepita ila naona hajawahi piga zile route march za km 50 na afande anawakazia msibebe hata maji achilia mbali pesa ya kununua chochote njiani hadi mrudi kikosiniNyie hamjaenda JKT ndio maana mnaona haiwezekani.. safari ni safari
