Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Siku moja inabidi itokee bahati wazee wa babarani tukutane hapo, ingawa mie jumamosi nitakuwa na familia yangu hapo hadi jumatatu.. code ukiona Crown DNS ujue nipo tu nachapa kahawa...

IMG_20210619_154946002.PORTRAIT.jpg
 
Niliwatembeza watu Mombo-Himo chini ya masaa mawili ikawa topic karibu mwezi mzima. Mimi nilikuwa naenda mwendo wangu tu ilikuwa usiku saa sita na....kumbe jamaa wanaangalia muda kufika wanasema na udereva wao wote na uzoefu wa kwenda mbio hawajawahi kukata hicho kipande chini ya 2hrs. Nilikuwa na VW katikati hapo nilikutana na Mark X kabla ya Same akataka ligi nikamnyoosha na 180kph akapotea,akanikuta mbele ya Same nimesimamishwa kwenye barrier akapita,nikatoka hapo nikamtafuta nikamla baada ya dakika kama kumi hivi.
Inawezekana kabisa.

Tena kwa mtu anaemaliza 180, anatakiwa atumie 90 minutes.

Mi nilitumia almost 1 hr same to mombo na nilikuwa arround 140 constant. Na same to himo ni pafupi zaidi.
 
2017 Prado na LC100 V8
Hawa ilikuwa mchana tu kipande cha bagamoyo msata kilometa kadhaa kabla ya Msata. Hawa walinikuta kwenye matuta na malizia wakanila wote wawili wanafukuzana. Abiria wangu wakasema 'wanaume hao' duh nikasema kimoyomoyo 'hiiiiiiii' kwa sauti ya RIP Magu.
Nikaanza kutafuta mwizi kimya kimya, dakika kama 5 hivi hawa hapa wanatoana jasho, kuna kona fulani ya kulala nayo wanasikilizia, niliwala wote wawili na 170kph wakanikuta Msata pale kulia tunakunywa maji kipanya changu kinaunguruma!
Kwenye Kona Tena unaovertake!!!! Kweli mizuka ikipanda hata nguo mtu anavua 😀😀😀
 
2017 Prado na LC100 V8
Hawa ilikuwa mchana tu kipande cha bagamoyo msata kilometa kadhaa kabla ya Msata. Hawa walinikuta kwenye matuta na malizia wakanila wote wawili wanafukuzana. Abiria wangu wakasema 'wanaume hao' duh nikasema kimoyomoyo 'hiiiiiiii' kwa sauti ya RIP Magu.
Nikaanza kutafuta mwizi kimya kimya, dakika kama 5 hivi hawa hapa wanatoana jasho, kuna kona fulani ya kulala nayo wanasikilizia, niliwala wote wawili na 170kph wakanikuta Msata pale kulia tunakunywa maji kipanya changu kinaunguruma!
Ila mkuu mimi napenda ligi sanaa wiki tatu zilizopita natoka kahama nakuja dom ikatokea D4D ikanipita kwa mwendo wa roket nikajisemea huyu lazima nile nae sahani moja nikaanza kumtafuta hapo nipo na primio F fukuza sana mara huyu hapa nipo 170 kph nikampita akaanza yeye kunitafuta sasa hapo nisaa mbili usiku nilitembea mpk nikamaliza sahani jamaa nampoteza mdogo mdogo mpk nafika singida naongeza wese ndio kanipita.
 
Back
Top Bottom