Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,229
- 36,252
Hivyo vitanichafulia gari, nitakulipa fidia.
Aaahahahahahhahahahahahaaaa unafikiri nna tabu basii...!
Fidia isiwe pungufu ya hapa kwenye picha bebe Bataringaya. 😋
Hivyo vitanichafulia gari, nitakulipa fidia.
Deal! Nani kaandika hiko kitabu? Dr Murphy?Aaahahahahahhahahahahahaaaa unafikiri nna tabu basii...!
Fidia isiwe pungufu ya hapa kwenye picha bebe Bataringaya. 😋
View attachment 1650663
Nasubiri E nivute kituila plate number zinakimbia sana aisee sahivi DVA tena 350+
Sio nipande tupumzike huko kwenye hali ya hewa ya Germany?
Ratiba yangu inaniambia mwaka mpya ni huko kwenye upepo wa MjerumaniWuuuhuuuuuuu njooo fastaaaa.
Ila ujue wewe ndo utakuwa time keeper ukiacha mimi niwe time keeper, yaani niamue tutakaa huko hadi lini na siku gani ndo ya kuteremka kuelekea kaskazini ya mbali..... jiandae mwaka mpya utatukuta hukohuko Germany Air 😜.
Deal! Nani kaandika hiko kitabu? Dr Murphy?
🤣🤣🤣 Kwenye ubora wenu kama kawaidaHivyo vitanichafulia gari, nitakulipa fidia.
Hivi kuna mhaya amabye hajasoma mpaka leo?Hatuna mfano!
Ratiba yangu inaniambia mwaka mpya ni huko kwenye upepo wa Mjerumani
I'm gonna get it...hope it'll help me to GET you! That's what I want dear...
Duh una Raha wewe mrembo. Unasoma kitabu huku unashushia korosho na Ka wine au?