😀😀😀 kuna siku nimetumia kama saa moja na nusu kutoka ifakara hadi mahenge, niliamua kuimuza gari na zile lasta 😀😀😀.. nilikuwa nawahi sehemu.. ila napapenda sana Mahenge ukiwa juu kule kwenye ifadhi ya ule msitu kutazama kwa chiniMungu akipenda leo jioni jioni naanza safar kutoka ifakara kwenda dom.ni mwendo wa kuvizia magari ya mizigo au private.tusio na gari tunashida sana!
Unapita Kwediboma unaenda hadi Kibirashi unakutana na Junxtion ya kukupeleka Kiteto uko sahihi mkuuHuku Kwediboma si ndio kuna chocho la kutokea Kiteto?
quattro iko vizuri sana mjomba kwanza inachanganya haraka sanaRoad trippers mpo? Hivi kati ya audi A4 1.8 quattro na BMW 3 series 2L, ipo imetulia na iko njema huko road?
Mbna km Dom hapa cc,?Pana view nzuri kupiga picha.View attachment 1823660
Leo nimegundua kwa ajili gani sipendi safari..
Ni kwa sababu sina gari.
Ningekuwa na gari, tena nzuri kama hiyo ,,haki ya nani ningekuwa nasafiri kila wiki.



lolAu ndiyo Dom, sijawahi kufikaPana view nzuri kupiga picha.View attachment 1823660
Kwa kweli..hasa huyu Holy Man atakutana na wengi sanaRoad trip itakutanisha watu tu...
Sorry jaman Mr, mie wala sijacheka mbona.
Hahahah....uzalendo umekushinda..Mie nimegoma kukubali
Nipo zangu njiani now


😀😀😀 muhimu kufika salama sheikh...Nimefika Salama Capital City na baby walker yangu ya ki Japan, jamaa wenye mashine za kijerumani wamentesa njiani, nimewaacha waende zaoView attachment 1824412
Mbna km Dom hapa cc,?

Unanicheka