Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Inaisha mkuu.Nchi kubwa hii huwezi kuimaliza
Kama shughuli zako zinaruhusu hilo.
Inaisha mkuu.Nchi kubwa hii huwezi kuimaliza
Hii ni umefika au hujafika?Rukwa (Sumbawanga iko humo)
Katavi (Mpanda iko humo)
Mara (Musoma iko ndani)
Ruvuma (Songea iko ndani)
Njombe
Iringa
Mtwara
Lindi
Kagera (Bukoba iko humo)
Tanga
Kilimanjaro
Morogoro
Shinyanga
Kigoma
Tabora
Arusha
Dodoma
Manyara
Singida
Mbeya
Songwe
Mwanza
Simiyu
Geita
Unguja**
Pemba**
Dar
Pwani
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kazi ipo. Wacha nikusanye nguvu.Aaahahahahahhaaa
Umesahau ulikuwa unaniletea hiyo na mihogo halafu tunaenda kujificha nyuma ya duka la baba Taibali kisha tunakulaa tukishiba tunashushia na sanvita 😅😅😅.
Tena wewe miguu ya kuku ndo imekukolea hadi umeanzisha uzi kabisa wa road trip 😜😜.
Ila sio siri hapa nabishana na nafsi niingie jikoni kisha nimalizie usiku kwenye sofa au niingie chumbani nitupie kisha nijidelive lokesheni 🤔🤔🤔
Ana ana ana doo
Kachanika bastoo
Ispiringi .......
Kaajaaam*** ushu * unanukaa
Tena saanaaa
Sanaa kabisaaa
Na aeendee
Choonii
Kuchukuaaa
Kopo lakeee
La kunawiaaaaa....
Nshapata uelekeo 😜😜
Hiyo ni orodha ya mikoa yote Tanzania Bara plus Unguja na Pemba. Dar na Pwani not includedHii ni umefika au hujafika?
I hope hii long weekend itanipa nguvu ya kumalizia mwaka!
Kazi ipo. Wacha nikusanye nguvu.
Nataka nifanyie juhudi za makusudi nipandishe Dodoma,Singida,Babati,Arusha. Hii inafaa December Insha AllahAll the best double R.
May you regain all your energy and stamina
Back to the trips.....
With crisp and chips
And all the Matata’s by the side 😜.
Jumaa Mubarak bin Eid.
Ahahaaahahahahahaaa Baba Taibali
Jiko lina nguvu hatariii....😅😅
Nataka nifanyie juhudi za makusudi nipandishe Dodoma,Singida,Babati,Arusha. Hii inafaa December Insha Allah
Hii nilitaka nipige December iliopita nikapata uvivu nikanyoosha Dar-Bagamoyo-Segera-Mombo-Moshi-ArushaOoh kilomita za kutosha hapo...
Dar Dom
Dom Singida
Singida Babati
Babati Arusha
Arusha Dar....
December is calling ☺️ Wuuuhuuuuu....
Hapa atakua amepishana na kipande cha Dom - Kondoa - Babati. Supa tarmac roadOoh kilomita za kutosha hapo...
Dar Dom
Dom Singida
Singida Babati
Babati Arusha
Arusha Dar....
December is calling Wuuuhuuuuu....
Ha ha only one of your own kind...Aaahahahahahhaaa
Umesahau ulikuwa unaniletea hiyo na mihogo halafu tunaenda kujificha nyuma ya duka la baba Taibali kisha tunakulaa tukishiba tunashushia na sanvita .
Tena wewe miguu ya kuku ndo imekukolea hadi umeanzisha uzi kabisa wa road trip .
Ila sio siri hapa nabishana na nafsi niingie jikoni kisha nimalizie usiku kwenye sofa au niingie chumbani nitupie kisha nijidelive lokesheni
Ana ana ana doo
Kachanika bastoo
Ispiringi .......
Kaajaaam*** ushu * unanukaa
Tena saanaaa
Sanaa kabisaaa
Na aeendee
Choonii
Kuchukuaaa
Kopo lakeee
La kunawiaaaaa....
Nshapata uelekeo
Akichungulia tu side mirror anatoa ruksawanawasha indicator ya kushoto haraka sana....
Hii inabidi uache ya Singida sio?Hapa atakua amepishana na kipande cha Dom - Kondoa - Babati. Supa tarmac road
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Yeah, ya Singida utaichukua next tym ukipata msele wa Kanda ya Ziwa ama Dom - Singida - Manyoni- Igunga - Nzega - Shinyanga ama Dom - Singida - Manyoni - Itigi - TaboraHii inabidi uache ya Singida sio?
Next itakuwa Mwanza as final destination.Yeah, ya Singida utaichukua next tym ukipata msele wa Kanda ya Ziwa ama Dom - Singida - Manyoni- Igunga - Nzega - Shinyanga ama Dom - Singida - Manyoni - Itigi - Tabora
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Piga mashuti mafupi mawili, Dar - Dom ama Singida af kituo next day unamalizia Dom/Singida - MzaNext itakuwa Mwanza as final destination.
Jamaa hatari sana.mi nilipewa visa ya muda mchache sana nakaingia kkoo na kutoka chap kabla haijaexpire nikasababisha tafrani nyumbaniYaani leo ushakata mikoa miwili wakati mimi hata getini kwangu sijatoka!
Mungu ni mwema.......hongera mkuuShukrani mkuu ishaisha