RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,762
- 107,976
- Thread starter
- #4,381
Utalii wa ndani unaburudisha sanaUtalii wa ndani .. usiolipiwaView attachment 1783857
Utalii wa ndani unaburudisha sanaUtalii wa ndani .. usiolipiwaView attachment 1783857
Gairo - Morogoro kwenye hifadhi kule ndani ndani kabisa kwenye milimaWapi hapa?
sehemu hiyo nilikuwa mbaya ila ina view nzuri,maana tulikuwa juu kabisa kwenye milima ya mehengeUtalii wa ndani unaburudisha sana
Gairo - Morogoro kwenye hifadhi kule ndani ndani kabisa kwenye milima
Nimevuta picha aisee ile fatigue dah! Mi nalalaga sana njianiSio mbaya ila hujapumzika ndio hatari ilipo.
Swala I think $200USDNakukumbusha tu faini ya kugonga Twiga ni 35m
Kuna gari ukisha kaa, then uka shift kwenye hizi gari zetu, unahisi kama umeingia dunia ingine 😬😬😬.. RR ukiwa nayo hauwi mtu wa meneno maana uwezo wake sio wa kulinganisha na hizi zingine 😀😀😀.. na hata route nilifanya iwe ndefu, nilianza kariua - tabora - Dodoma - Morogoro - Iringa - then nikarudi Mahenge - Alafu Dar es Salaam 😎😎Ulikuwa mbaya kivipi? Hujatupa mrejesho wa RR Sporty
Usiku ni nzuri kwa bara bara unayo ijua, inanoga sanaaHivi mnawezaje kuendesha mchana? Naona kama askari wana njaa wanavizia vitu vidogo vidogo sana...
Imagine nimeovertale lori sehemu ambayo hamna limit na mstari unaruhusu, pako flat na straight nikakamatwa kwamba sikutakiwa kuovertake kwasababu kuna kibao cha Rest stop (ile R ya blue).
Nakuelewa.Kuna gari ukisha kaa, then uka shift kwenye hizi gari zetu, unahisi kama umeingia dunia ingine 😬😬😬.. RR ukiwa nayo hauwi mtu wa meneno maana uwezo wake sio wa kulinganisha na hizi zingine 😀😀😀.. na hata route nilifanya iwe ndefu, nilianza kariua - tabora - Dodoma - Morogoro - Iringa - then nikarudi Mahenge - Alafu Dar es Salaam 😎😎
Anakujaribu huyo. Mchenjie atakuwa mpole.Hivi mnawezaje kuendesha mchana? Naona kama askari wana njaa wanavizia vitu vidogo vidogo sana...
Imagine nimeovertale lori sehemu ambayo hamna limit na mstari unaruhusu, pako flat na straight nikakamatwa kwamba sikutakiwa kuovertake kwasababu kuna kibao cha Rest stop (ile R ya blue).
Jana tulikiwasha pale mikumi, kama hizo fine hazipo 😎😎😎😎Nakukumbusha tu faini ya kugonga Twiga ni 35m
Lini hii mkuu.. mie jana nimepita hapo kama hakuna speed limit 😀😀😀