Wazee wa Pixel: Google wamezindua Pixel 10 Series!

Wazee wa Pixel: Google wamezindua Pixel 10 Series!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,139
Reaction score
88,809
Siku ya leo tar 20 August, Google wamezindua simu zao za Google Pixel kupitia event yao ya Made by Google 2025.
IMG_1892.jpeg

Baadhi ya simu zilizozinduliwa ni Pixel 10, Pixel 10 Pro, Pixel 10 Pro XL, na Pixel 10 Pro Fold.
IMG_1890.jpeg

Mbali na simu, Google wamezindua pia Pixel Watch 4 Smartwatch na Bud 2a earpods.
IMG_1893.jpeg

Event ya Google iliudhuriwa na watu mashuhuri wengi ila kivutio wakiwa ni mkali wa NBA Stephen Curry, Dereva wa F1 wa McLaren Lando Norris na wakali wa Pop Jonas Brothers.
IMG_1894.jpeg

Pixel 10 sahivi zina camera 3 sio 2 kama 9 za mwaka jana (telephoto camera imeongezeka).

Pixel 10 Pro na Pro XL hazijatofautiana sana na za mwaka jana zaidi ya kuboreshwa features tu.
IMG_1891.jpeg

Pixel 10 Pro Fold nayo haijatofautiana sana na model ya mwaka jana, ila bei yake shikamoo, inafika hadi Mil 5.5!
 
Hizi zitatoka tayari zikiwa na Android 16 ambazo user wengine wa pixel kuanzia 6 series tayari tulishapata update ya Android ya 16 tangu June kwasasa tunasubiri Material expressive 3 ambayo yenyewe ndio itakuwa na Update za Interface,

Wali predict kuwa unaweza kuwa out earlier September aisee nilijaribu Beta iko very fine
 
Siku ya leo tar 20 August, Google wamezindua simu zao za Google Pixel kupitia event yao ya Made by Google 2025.
View attachment 3447462
Baadhi ya simu zilizozinduliwa ni Pixel 10, Pixel 10 Pro, Pixel 10 Pro XL, na Pixel 10 Pro Fold.
View attachment 3447460
Mbali na simu, Google wamezindua pia Pixel Watch 4 Smartwatch na Bud 2a earpods.
View attachment 3447461
Event ya Google iliudhuriwa na watu mashuhuri wengi ila kivutio wakiwa ni mkali wa NBA Stephen Curry, Dereva wa F1 wa McLaren Lando Norris na wakali wa Pop Jonas Brothers.
View attachment 3447464
Pixel 10 sahivi zina camera 3 sio 2 kama 9 za mwaka jana (telephoto camera imeongezeka).

Pixel 10 Pro na Pro XL hazijatofautiana sana na za mwaka jana zaidi ya kuboreshwa features tu.
View attachment 3447463
Pixel 10 Pro Fold nayo haijatofautiana sana na model ya mwaka jana, ila bei yake shikamoo, inafika hadi Mil 5.5!
So wadada waandae pain killer 😎
 
2023 nilinunua pixel 4a 5g kwa Tsh 400k naitumia mpaka sasa.

Mwaka huu 2025, hii pixel 4a 5g inauzwa chini ya 320k na ukiwa na 400k unapata pixel 6 🙌

Anyway, mm naikubali sana pixel 8 pro, ngoja ishuke mpaka 500k ntainunua 😎
 
2023 nilinunua pixel 4a 5g kwa Tsh 400k naitumia mpaka sasa.

Mwaka huu 2025, hii pixel 4a 5g inauzwa chini ya 320k na ukiwa na 400k unapata pixel 6 🙌

Anyway, mm naikubali sana pixel 8 pro, ngoja ishuke mpaka 500k ntainunua 😎
Yeah ata mimi 8 series nazielewa sana. Nitaishi na Plain
 
Hizi zitatoka tayari zikiwa na Android 16 ambazo user wengine wa pixel kuanzia 6 series tayari tulishapata update ya Android ya 16 tangu June kwasasa tunasubiri Material expressive 3 ambayo yenyewe ndio itakuwa na Update za Interface,

Wali predict kuwa unaweza kuwa out earlier September aisee nilijaribu Beta iko very fine
UI ya Pixel ipo simple sana maybe M3E itaibadirisha maana ukitoka Galaxy kuja pIxel naona unakutana na UI simple sana.
 
Back
Top Bottom