kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,100
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeee!
Membe wakati anataka kwenda kugombea alikwenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere, akasema amepata baraka zote.
Ila kwa sasa sijamuona akienda huko butiama.
Utakuwa na utindio wa ubongo hata thread isiyohusu chadema lazima uitaje,au mmeo wa chadema alikupa talaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kapandisha uzi hapa anayajibu maswali ebu cheki naye
Unafahamu kiswahili vizuri wewe?unashindwa kutofautisha kiti na kitu.Ile dhana kwamba,"Vijana wengi wa Lumumba ni form 4 failures",nimeanza kuielewa!
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeee!
Ushalewa kimpumu sasa kinakuendesha hata hujui dunia inakwendaje
In God we Trust
Mimi ndiyo urabu wangu hivyo na kushawishi ujiunge namiKwani unalipwa bei gani kuitangaza hiyo makitu ya kimpumu!
Ya nini hiyo wote akili zetu tushikiwe na mange kimambi wewe baki peke yako!Mimi ndiyo urabu wangu hivyo na kushawishi ujiunge nami
In God we Trust
Hao unao wasifia wakifa wanazikwa hewani!Umeishawahi kusikia wazee wa masaki, mikocheni, oysterbay, Area D,Uzunguni, dodoma, Wakifanya kitu kama hiki,?vitu hivi hufanywa na raia maskini, wenye vipato vidogo, ambao familia nzima unaweza ukakosa hata mtu mmoja mwenye shahada, matajiri hawana huu upuuzi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Lini kusini imewahi kuwa ngome ya chadema. Ngome ya chadema ni wale wanaojielewa huwezi kuwalinganisha na watu wa Lindi. Unafikiri KILIMANJARO ndiyo Magufuli angechukua kahawa bila kuwalipa cdhani kama Magufuli angekuwa bado yupo hapo alipoHuko kusini yaani Chadema imepukutika kabisa .
Mimi nazungumzia kusini wewe unaanza oh Kilimanjaro, oh kahawa sijui nini; mbona hueleweki?Lini kusini imewahi kuwa ngome ya chadema. Ngome ya chadema ni wale wanaojielewa huwezi kuwalinganisha na watu wa Lindi. Unafikiri KILIMANJARO ndiyo Magufuli angechukua kahawa bila kuwalipa cdhani kama Magufuli angekuwa bado yupo hapo alipo
Maigizo yanaendelea.Hiyo yote kujaribu kuonyesha Membe si kitu!