msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 763
- 381
.....Kwa Heshima ya mke, unapiga game na Mchepuko hadi saa 4 au 5 Usiku, then unarudi Home then Asubuhi Kama Mimi na moja alfajiri unaamkia na Kuhamsha Kiporo Binadamu.
#Hapa lazima uchukue namba ya Mlinzi.
...........Ukirudi utamsikia mchepuko anakuuliza.. Dada hajambo?
Anajifanya anajali Sana Familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
#Hapa lazima uchukue namba ya Mlinzi.
...........Ukirudi utamsikia mchepuko anakuuliza.. Dada hajambo?
Anajifanya anajali Sana Familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app