Wazee wa kimachame wamcharukia Mbowe

Wazee wa kimachame wamcharukia Mbowe

Kwa hyo huyo dc tapeli ameamua kuwarubuni wazee.We mtambuka sikujua km ni moja majitu majinga namna hii.Hii michezo kipuuzi dhidi ya Mbowe inawasaidia nn
 
Tz ni ya ajabu sana. Tunajanga kubwa mbele yetu ila kila kukija vijana wa lumumba wanakuja na propaganda juu ya mbowe na chadema. Hawawezi hata kushauri serikali yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du jamani hili? Wazee lakini utasikia kuwa hata hawa wazee wamenunuliwa, Mzee wa mgombani anunuliwe? jamani si bure kunamchawi tu atakuwa amewafunga Chadema hadi na vijana wote maana bado vijana wa Ufipa wanaaminia Mboe yupo sahihi hawataki hata kuumiza vichwa ni siasa nyepesi tu eti wamenunuliwa.
Tusaidieni sisi jamani tunapenda hata upinzani uwepo kwani inapendeza.
 
nilikuwepo wakati wanaongea wengine hawajaonyeshwa WALISEMA NI VYEMA AKAMUIGA MREMA NA MBATIA KWA JINSI WALIVYO WAZALENDO NA WTIIFU KWA JPM
 
Yule mkuu wa Wilaya keshawapiga mkwara wa kufunga vilabu vya mbege
 
Back
Top Bottom