Mbowe aliona Watanzania hawabebeki, akavuta hela akatulia?

Mbowe aliona Watanzania hawabebeki, akavuta hela akatulia?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,202
Reaction score
138,575
Leo nimetafakari juu ya kukosekana kwa Mbowe wala kauli yake kwenye hali ngumu inayopitia Tanzania

Nikafikiria hivi kweli hawa watanzania ni watu wa kuwapigania mpaka tone la mwisho? Nikawahesabu watu kadhaa waliorisk maisha yao wakiwatetea watanzania. Nikamkumbuka Tundu Lissu na Mbowe na wengine wengi. Nikakuta nyuna yao hakuna kundi kubwa la watanzania walio nyuma yao. Nikakuta ni kakundi kadogo tu ambako ni rahisi kupuuzwa.

Nikakuta nchi haina wazee wa kuwa nyuma ya wanasiasa wazalendo, nikakuta wazee wengi wanaangalia matumbo yao, wachache wanaokerwa na hii hali ni waoga wanasema kwa mafumbo. Nikakuta viongozi wengi wa dini ni wanafiki na wanaangalia mstakabali wa taasisi zao, angalau Kanisa Katoliki linasema.

Nikaona kuna uwezekano mkubwa Mbowe aliona hapa napoteza muda hii nchi imejaa wajinga. Ameshapoteza vingi sana lakini akikutwa na majanga akigeuka nyuma anakuta hakuna mtu.

Akaona avute akae pembeni.
 
Mbowe mjanja alishtukia walio nyuma yake ni kundi kubwa ila ni kundi la Nyumbu waoga, walishamponza mara kadhaa akigeuka nyuma anakuta wanatimua vumbi kwa kutoka mbio kwa uoga.

Tukio la mwisho hizi Nyumbu zilimdanganya Mbowe ziko nyuma yake jamaa akaitisha maandamano mitandao yote ikaripuka kwa mikwara mikali ya Nyumbu huku zinasema lazima ziandamane na zitaua mtu.

Siku ya maandamano ilipofika Mbowe alijikuta barabarani yuko peke yake tu na binti yake Nicole, zile Nyumbu nyingi alizoziona nyuma yake saa hiyo haoni hata nyumbu 1 zote zimejificha hata kazini hazikwenda siku hiyo.
 
Leo nimetafakari juu ya kukosekana kwa Mbowe wala kauli yake kwenye hali ngumu inayopitia Tanzania

Nikafikiria hivi kweli hawa watanzania ni watu wa kuwapigania mpaka tone la mwisho? Nikawahesabu watu kadhaa waliorisk maisha yao wakiwatetea watanzania. Nikamkumbuka Tundu Lissu na Mbowe na wengine wengi. Nikakuta nyuna yao hakuna kundi kubwa la watanzania walio nyuma yao. Nikakuta ni kakundi kadogo tu ambako ni rahisi kupuuzwa.

Nikakuta nchi haina wazee wa kuwa nyuma ya wanasiasa wazalendo, nikakuta wazee wengi wanaangalia matumbo yao, wachache wanaokerwa na hii hali ni waoga wanasema kwa mafumbo. Nikakuta viongozi wengi wa dini ni wanafiki na wanaangalia mstakabali wa taasisi zao, angalau Kanisa Katoliki linasema.

Nikaona kuna uwezekano mkubwa Mbowe aliona hapa napoteza muda hii nchi imejaa wajinga. Ameshapoteza vingi sana lakini akikutwa na majanga akigeuka nyuma anakuta hakuna mtu.

Akaona avute akae pembeni.
Ni Kwel Taifa Letu Limegeuka Kuwa Keyboard Warriors
 
Watanzania wengi sasa tunaishi uchumi wa kati tuko bize
hizo politics za nginjanginja ni enzi zile WaTZ wengi walikuwa 3rd class citizens.
Digital activism ndio future ya politics
 
Hajavuta pesa sababu watanzania hawabebeki amenunuliwa kwa sababu ya tamaa zake za pesa.
Watanzania ni kisingizio tu ya hulka zake za usaliti na kupenda pesa.
 
Back
Top Bottom