kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,566
- 12,662
tema mate chini mkuuKitu Kama hisho hakiwezi nikuta kamwe.Style ya maisha yangu haiwezi niweka kwenye mazingira kama hayo.
tema mate chini mkuuKitu Kama hisho hakiwezi nikuta kamwe.Style ya maisha yangu haiwezi niweka kwenye mazingira kama hayo.
Inasikitisha kwa kweli. Hakuna anayejua dakika 1 mbele atakuwa wapi.sipati picha sasa hivi huyu binti anajiskiaje..bata tunazipenda ila mwisho wake huwa mbaya
So japo ushahidi umepinda unakiri kuwa ATAHUKUMIWA?Pamoja na hayo yote lakini lazima tukubali kuna doa kubwa limeingia kwa mahakama na kwa mawakili wa serikali....ambalo hadi leo nashindwa kuelewa kama yule wakili wa serikali aliye kuwepo jana kama anazo akili timamu kweli au alilewa rushwa aliyopewa...
Kitendo cha kukubali ushahidi wa kijinga wa mke wa Dr Slaa kwakweli ni aibu kubwa kwa mahakama....
Kwakweli sidhani kama hukumu itaaminika kabisa...
Lulu atapewa kifungo cha nje hakuna jipya..............
Mmh,mkuu unareasoning hafifu sana...na kuhusu role ya wazee mahakamani ishaelezwa humu.wazee kazi yao sio kuangalia sheria inasemaje bali facts/ushahidi wa kesi ukoje na mwisho nini maoni yao kwa mujibu wa ushahidi ulioletwa mahakamani...ishu za kisheria zote bado zinabaki kwa Jaji mwenyewe.Maana yake hapo LULU kishakamatwa na HATIA atafungwa tu....kati ya 5 au 7 miaka.....wakati kulingana na umri wake alikuwa hastahili kufungwa...pia mazingira ya tukio LULU 45 KG asingeweza kumsukuma KANUMBA 80 KG....vyovyote vile kanumba aliteleza mwenyewe wakati anamfukuza LULU.....na haya mambo ya WAZEE NI MAMBO YA KIKOLONI.....badala ya kudeal na evedence wao wanasikiliza wazee....
Ukiwaona Ditopile Mzzr alipata adhabu gani?Wewe umeshawahi kuona mtu aliyeua bila kukusudia anafungwa kifungo cha nje?ajiandae na rufaa
akihukiwaiaka 30 atakaa jela miaka 20 na akipata msamaha wa raisi atakaa miaka 15Duuh m nlijua ukiua bila kukusudia wanakausha kumbe maisha tena duuh.wakipunguza 30 anatoka na 50 mzee
Na leseni alipataje kama alikua under 18?Maana yake hapo LULU kishakamatwa na HATIA atafungwa tu....kati ya 5 au 7 miaka.....wakati kulingana na umri wake alikuwa hastahili kufungwa...pia mazingira ya tukio LULU 45 KG asingeweza kumsukuma KANUMBA 80 KG....vyovyote vile kanumba aliteleza mwenyewe wakati anamfukuza LULU.....na haya mambo ya WAZEE NI MAMBO YA KIKOLONI.....badala ya kudeal na evedence wao wanasikiliza wazee....
Sio mauaji tu, mauaji ya mtu maarufu AfrikaTusubiri hiyo November,akisalimika kifungo inabidi amrudie Mungu wake kwa uhakika pasipo mzaha.Maana utakua muujiza kesi ya mauaji si kitu cha mchezo.
Hawa wazee wa baraza umri wao unaanzia miaka mingapi? na wanapatikana vp?Jaji Rumanyika ameshatoa hukumu? Naamini bado. Wazee wa baraza wanashauri tu (kwa jinsi ninavyojua). Nipo tayari kusahihishwa/kuelimishwa.
Enzi za mkwere angeombwa K na mkulu kisha ingetoka hio!Demu alikuwa anachukulia poa,mvua hazimuachi salama..!!
Naweza ku predict unatokea chugga... Right?Wala perception yako tuu mkuu
Vipi huyu lulu anaeza kutwa na kifungo? Maana alikua 17 kipindi hichoMjina Mrefu ADHABU YA KUUA BILA KUKUSUDIA NI KIFUNGO CHA MAISHA NA UKIUA KWA KUKUSUDIA NI KUNYONGWA HADI KUFA