Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
NdioMaana hapo juu nimesema Lay Assessors ni kama Debe tupu, mawazo yao ni ya ki_layman, hayawezi kuwa binding kwa Courts of records.Utaratibu hauko hivyo, ila kinachonishangaza ni kwa nini Lulu hajapelekwa jela ili hukumu isomwe akitokea jela? Unakumbuka kesi ya Dr Murray wa Michael Jackson alikuwa nje kwa dhamana ila siku mahakama ilipomtia hatiani alipigwa pingu na kupelekwa jela kusubili tarehe ya hukumu.
Kama Lulu ameachwa uraiani anao uhuru wa kuruka dhamana na kuikimbia hukumu. Kuna tatizo kwenye mfumo wetu wa mahakama.
Ila msimamo wangu tangu day one mpaka leo haujabadirika Kanumba alikuwa mbakaji tu.
Kuna mzee wangu mmoja alikuwa mzee wa baraza kwenye kesi ya Zombe kwa sasa ni marehemu, ni magumashi matupu, hao wazee waliwadharau hawajanusisha pesa, ni kitu kisichowezekana wote wawe na msimamo mmoja, na hakuna mwanasheria katika hao.
Nazishauri mamlaka husika ni wakati muhafaka sasa kwa kazi hii kupewa mahakimu wastaafu, majaji wastaafu, Madpp wastaafu, na wanasheria waliostaafu kupractice law.
Hawa wazee wengi wao wakati kesi inaendelea huwa wamelala kama Wasira bungeni.