Aisee miaka 15 ina muhusu kwaher lulu tulikupenda lakin nyampara wamekupenda zaid
Aisee miaka 15 ina muhusu kwaher lulu tulikupenda lakin nyampara wamekupenda zaid
Yeap na hiki ndio niliambiwa na dada jana labda mahakama isifate hicho kifungu atakua ameponaAdhabu ya kuua bila kukusudia
Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kama Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
Adhabu ya kuua bila kukusudia
Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kama Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
Huyo rafiki yako aliweza fungwa sababu silaha iliyo tumika kujeruhi na baadae kusababisha kifo ilionekana ambayo ni jiwe na mazingira yalikua wazi kwamba kapigwa na jiwe ,kwa Lulu tofauti hakuna aliye ona nini kilitokea kama alianguka mwenywe au alisukumwa , hakuna uthibitosho huo.Mm nina rafiki yangu alikuwa amelewa akampiga na jiwe mguuni baba mmoja jirani yao yule mzee alipelekwa hospitali akafariki dunia, kesi ikaenda mahakamani ikaonekana jamaa aliua bila kukusudia akafungwa miaka 5 jela. Now yupo uraiani.
Inawezekana kwa lulu ikawa hivyo au chini ya hapo.
Hayo ndiyo mambo yatakayozingatiwa.Thank you advocate. inakuwaje iwapo mshtakiwa alitenda kosa akiwa minor?
Kakujishaua shaua wakati ana kesi ya kujibu. Kipindi hiki alitakiwa kutulia sana. Mtoto wa kike anatakiwa atulie. Peple might mistake you for what you are not. Kwanza zile stori anatoa mahakamani kuwa kanumba ndiye aliyemwanza haikuwa proper. Mambo ya chumbani ni chumbani sio lazima kila mtu ajue unafanya nini huko. Anyway namuonea huruma kwa sababu ana utoto sana na hajapata malezi mazuri hivyo kajilea mwenyewe. Ni vigumu kujua zuri na baya kwa mtoto ambaye kajilea mwenyewe the hard way. Na kuna ma papa kama kina kanumba wanasuri kuwameza.katabia kapi hako?
Wazee wa baraza ambao pia ni washauri wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wameeleza kuwa msanii wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu' ameua bila kukusudia.
Kutokana na hali hiyo, Jaji Sam Rumanyika amepanga kutoa hukumu Novemba 13 mwaka huu.
Elizabeth Michael 'Lulu' anakabiliwa na kesi ya mauaji bila kukusudia kwa msanii mwenzake, Stephen Kanumba yaliyotokea April 7, 2012. Jaji anaesikiliza kesi ya Lulu, Sam Rumanyika alisoma ushahidi wa pande zote mbili kisha kusikiliza maoni ya wazee wa baraza.
Katika maoni yao, wazee wa baraza wote watatu wamesema Lulu ameua bila kukusudia, mzee wa kwanza ajulikanaye kama Omary Panzi amesema ni kutokana na ushahidi wa mdogo wake Kanumba, Seth Bosco ambae alielezea ugomvi uliotokea baina ya Lulu na marehemu.
Mzee wa pili, Bi. Sara amesema Kanumba alikufa kutokana na ugomvi ambao shahidi pia kaueleza kulikuwa na giza. Mzee wa tatu, Rajabu Mlawa amesema kutokana na sababu zilizosomwa ameridhika na hakuna ubishi kuwa Lulu ana kosa la kuua bila kukusudia.
Kakujishaua shaua wakati ana kesi ya kujibu. Kipindi hiki alitakiwa kutulia sana. Mtoto wa kike anatakiwa atulie. Peple might mistake you for what you are not. Kwanza zile stori anatoa mahakamani kuwa kanumba ndiye aliyemwanza haikuwa proper. Mambo ya chumbani ni chumbani sio lazima kila mtu ajue unafanya nini huko. Anyway namuonea huruma kwa sababu ana utoto sana na hajapata malezi mazuri hivyo kajilea mwenyewe. Ni vigumu kujua zuri na baya kwa mtoto ambaye kajilea mwenyewe the hard way. Na kuna ma papa kama kina kanumba wanasuri kuwameza.
Ngoja hizo mvua zinipate mimi badala yake ila nikitoka namuoa
Hujanielewa mkuu. Sisemi sentiments zangu ndiyo zimemfikisha hapo. I said she was in the wrong place at the wrong time. Binti wa miaka 18 kwangu bado ni mtoto na angekuwa amelala nyumbani yasingemkuta yaliyomkuta. Kwa vile kajilea mwenyewe ndiyo yanamkuta yaliyomkuta. Sina sababu ya kumchukia Lulu kwanza simjui namwona tu kwenye news. Natafakari tu kilichotokea, tabia yake ya huko nyuma maana tumesikia mengi, tabia ya sasa na kisha natoa nilivyompima. Manslaughter najua ni kifungo hicho hakwepi na wazee wa baraza wamethibitisha hilo.sasa hicho unachosema ni wazi humpendi tu huyo binti na sio objectivity. umesema hisia sana. pengine ndio uGT wenyewe huo. mahakama hufanyia kazi kile kinacholetwa mahakamani kama ushahidi na sio sentiments za watu wanaompenda au wanaomchukia mshtakiwa. kuhusu nini kilikuwa proper mahakamani haliko kwenye nafasi ya onlookers, hilo ni jambo la mshtakiwa kwa vile anavyokumbuka tukio. hata kama her testimony haikupendezi labda ndio ukweli. sasa ni bora tu mahakama iamue hukumu stahiki. lakini kwa ninavyoyaangalia mazingira ya kesi binti will get 30 years in a suspended sentence.
Saivi anaitwa mama G Mungu kampea katoto ka kiume 😅 time really flies 🏃Nomer sana mazeeee, hatari sana hichi kiumbe
Naomba uwe mwanasheria wangu mkuu.Ni jaji Rumanyika ni jani wa kwanza ambae namkubali sina shaka na hukumu zake sasa hivi yupo za CA Natamani arudi HC binafsi nimemmiss ana msimamo na anafata sheria. Akiwa mfawithi wetu nilkifurahia kufanya kazi dah.
Na kaolewa na miongoni mwamafogo wa mjini Kwa Kweli Mungu ashukuriweSaivi anaitwa mama G Mungu kampea katoto ka kiume time really flies
Ana shyneee tyuuh