Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,323
Mzazi ni mtu muhimu sana katika maisha ya kila mmoja wetu....ila wakati mwingine wanaweza kuharibu zaidi ya kujenga kutona na influence waliyonayo juu yetu!!!
Ni sawa kumjali na kumwangalia mzazi wako ila wakati mwingine wanaweza kua zaidi ya sumu katika mahusiano.
Tuanze na mzazi/wazazi wanapoamua kuishi na wanao ambao wapo kwenye ndoa, especially kina mama.Wazazi wengi hua wanaamini hamna mwanaume/mwanamke ambae amekamilika vya kutosha kiasi cha kuweza kua mwanae.Mara nyingi ikitokea ugomvi kati ya wawili mzazi atamtetea mwanae hata kama ndio mwenye kosa.Inaweza kua sio kwa makusudi ila inakua imeshatokea....kuna wengine wanatembea na uchungu wao na hapo ndipo wanapopata nafasi ya kumwaga machungu yao.Kwa mfano linapokuja swala la kucheat..hata kama bado haijatokea kwako ni hisia tu.... iwapo mama aliwahi kufanyiwa hivyo na mumewe ni rahisi sana kwa yeye kumwaminisha mwanae wakike kua anafanyiwa hivyo hivyo...kwamba wanaume kweli hawaaminiki ''ukimoana anaanza kua mnyemela nyemela(sneaky) basi jua kuna jambo.''.Au kumwambia mwanae wa kiume kwamba wanawake ni wabaya na mke wake is no different than others.Hapo anakua anasahau kabisa kwamba na yeye ni mwanamke na ni tofauti kwasababu hakuumiza bali aliumizwa.
Ushauri binafsi...ikitokea wewe na mwenzako mkiwa katika hali ya kutoelewana alafu mzazi wako akawa karibu jaribu sana usimwingize mzazi wako katika ugomvi wenu.Mzazi atatakiwa kuchagua upande...na huo upande ukiwa wako mtakua mnamweka mwenzi wako kati...kitu ambacho kinaweza kumkera zaidi hata ya kilichokua kimesababisha ugomvi on the first place.Always ugomvi wenu umalizeni wenyewe...na ikitokea mmefikia mahali ambapo mnahitaji usuluhisho nendeni kwa mtu ambae hatakua na upendeleo na mmoja wenu...hapa ndugu na marafiki wa mmoja wenu anakua off the list.Mtu ambae ni neutral ataliona kosa lilipo na kulinyooshea kidole bila uficho...na ushauri wake utaelemea kwenye tatizo badala ya kuangalia kwanza nani mwenye kosa.
Newayz my point is....
1st...ALWAYS chuja ushauri au ushawishi kutoka kwa watu wengine!!Hata mzazi wako.....surely hawezi kukushauri kitu kibaya kwa makusudi ila sio kila wakati mzazi anajua ni nini unachohitaji at the time!!!
2nd...Inapotokea mna tatizo na wote mnalijua tayari,wekeni akili zenu kwenye kutatua tatizo zaidi badala ya ktupiana lawama.
Nawakilisha!!!
Ni sawa kumjali na kumwangalia mzazi wako ila wakati mwingine wanaweza kua zaidi ya sumu katika mahusiano.
Tuanze na mzazi/wazazi wanapoamua kuishi na wanao ambao wapo kwenye ndoa, especially kina mama.Wazazi wengi hua wanaamini hamna mwanaume/mwanamke ambae amekamilika vya kutosha kiasi cha kuweza kua mwanae.Mara nyingi ikitokea ugomvi kati ya wawili mzazi atamtetea mwanae hata kama ndio mwenye kosa.Inaweza kua sio kwa makusudi ila inakua imeshatokea....kuna wengine wanatembea na uchungu wao na hapo ndipo wanapopata nafasi ya kumwaga machungu yao.Kwa mfano linapokuja swala la kucheat..hata kama bado haijatokea kwako ni hisia tu.... iwapo mama aliwahi kufanyiwa hivyo na mumewe ni rahisi sana kwa yeye kumwaminisha mwanae wakike kua anafanyiwa hivyo hivyo...kwamba wanaume kweli hawaaminiki ''ukimoana anaanza kua mnyemela nyemela(sneaky) basi jua kuna jambo.''.Au kumwambia mwanae wa kiume kwamba wanawake ni wabaya na mke wake is no different than others.Hapo anakua anasahau kabisa kwamba na yeye ni mwanamke na ni tofauti kwasababu hakuumiza bali aliumizwa.
Ushauri binafsi...ikitokea wewe na mwenzako mkiwa katika hali ya kutoelewana alafu mzazi wako akawa karibu jaribu sana usimwingize mzazi wako katika ugomvi wenu.Mzazi atatakiwa kuchagua upande...na huo upande ukiwa wako mtakua mnamweka mwenzi wako kati...kitu ambacho kinaweza kumkera zaidi hata ya kilichokua kimesababisha ugomvi on the first place.Always ugomvi wenu umalizeni wenyewe...na ikitokea mmefikia mahali ambapo mnahitaji usuluhisho nendeni kwa mtu ambae hatakua na upendeleo na mmoja wenu...hapa ndugu na marafiki wa mmoja wenu anakua off the list.Mtu ambae ni neutral ataliona kosa lilipo na kulinyooshea kidole bila uficho...na ushauri wake utaelemea kwenye tatizo badala ya kuangalia kwanza nani mwenye kosa.
Newayz my point is....
1st...ALWAYS chuja ushauri au ushawishi kutoka kwa watu wengine!!Hata mzazi wako.....surely hawezi kukushauri kitu kibaya kwa makusudi ila sio kila wakati mzazi anajua ni nini unachohitaji at the time!!!
2nd...Inapotokea mna tatizo na wote mnalijua tayari,wekeni akili zenu kwenye kutatua tatizo zaidi badala ya ktupiana lawama.
Nawakilisha!!!