VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
VoR we ni mtetezi mzuri sana ila kuna watu na watu!Mpaka mtu aliyekukosea wewe akakushtaki wewe usitegemee uelewa na uungwana kutoka kwake!Hapo mkirudi nyumbani ataishia kukupiga madongo!'Unajifanya kulalamika hapa tumefika kule huna cha kusema' hayo ndo yatakua maneno yake!Ustaarabu haufunzwi ukubwani!
Ndio maana huwa ninasema kwenye kutafuta mwenza.., kuna mambo muhimu sana ya kuangalia, na kamwe hautafanikiwa kama mwenza wako hana busara. I always say this am always looking for inner beauty everything else i will get used to, or learn to love...