Wazazi wetu na kauli zao

Wazazi wetu na kauli zao

Pablo

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
2,441
Reaction score
2,547
Mara nyingi inapotokea mzazi anaona kwa namna moja au nyingine mwenendo wa kijana wake haupo sawa huwa wana kauli zao.

Mimi binafsi nilikuwa sijatulia kabisa kwa kupenda totoz, mama hakuniacha salama kwa kauli zake "wewe hangaika hangaika tuu, siku ukianza kujiharishia mimi sitakuwepo.

Kuhusu shule na utoro " nakuvutia pumzi siku nikikukamata utajamba cheche"

Nikichelewa kurudi home, "unanitia presha na kunitoa jasho la makalio ya mbwa koko wewe ulikuwa wapi?"

It was so fun.

Share na wewe ni kipi unakumbuka kutoka kwa mzazi baada ya kumuuzi kupita kawaida.

IMG_20180513_134813_240.jpg
 
Yaani we mtoto siku ningejua mimba yako itashika bora ningepiga pulgaja nimwagie chooni tu!
Mwanamtoka pabaya wee mwanaharam nahis nilibadilishiwa hospitali we mtoto!mwanaharam kabisa usieskia
 
Yaani we mtoto siku ningejua mimba yako itashika bora ningepiga pulgaja nimwagie chooni tu!
Mwanamtoka pabaya wee mwanaharam nahis nilibadilishiwa hospitali we mtoto!mwanaharam kabisa usieskia
Duh sasa mkuu mbona hapa bmkubwa alikuchoka mapema nazan alitamani akuuze hata sh 100 asikuone tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom