Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 1,590
- 2,087
Binafsi yule bi mkubwa wangu alinipa somo kubwa tu.
1. Hataki mkwe kutoka Upareni pamoja uchagani; ndio ni kweli wanatafuta hela ila kukukeleftisha in peace ni dakika moja.
2. Hataki muhaya maana kuanzia kwenye shingo mpaka kwenye maeneo ya magoti sehemu hizo huwa zinawasha sana. Atatafuta tu mtu amkune.
Povu ruksa ila ndo ukweli
1. Hataki mkwe kutoka Upareni pamoja uchagani; ndio ni kweli wanatafuta hela ila kukukeleftisha in peace ni dakika moja.
2. Hataki muhaya maana kuanzia kwenye shingo mpaka kwenye maeneo ya magoti sehemu hizo huwa zinawasha sana. Atatafuta tu mtu amkune.
Povu ruksa ila ndo ukweli