Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,632
Kuna majina kwa sasa hayafai kuwapa watoto maana yameshapitwa na wakati.
Embu jaribu kufikiria unakutana na mtoto wa mwaka mmoja anaitwa Mwanne, Tatu, Yona, Bartholomew, Juma,Shabani ,Hamisi,Isaya ,Jumanne,
Wengine ndio hao akina Selemani ,Sikudhani, Rajabu, Paulo, Fatuma ,Ashura,Rehema, Pius, John, Jose ,Mudi ,Omari,Shamte nk
Kiufupi haipendezi kwa kweli, tafuteni majina yanayokwenda na wakati hayo yalishapitwa na zama zake .
Kama unavyoona ni ngumu kwa sasa kumpata mzee anaitwa Junior, au Precious 😂😂😂😂😂😂 basi na hayo majina nayo tuachane nayo ,tuangalie majina ya kisasa.
Embu jaribu kufikiria unakutana na mtoto wa mwaka mmoja anaitwa Mwanne, Tatu, Yona, Bartholomew, Juma,Shabani ,Hamisi,Isaya ,Jumanne,
Wengine ndio hao akina Selemani ,Sikudhani, Rajabu, Paulo, Fatuma ,Ashura,Rehema, Pius, John, Jose ,Mudi ,Omari,Shamte nk
Kiufupi haipendezi kwa kweli, tafuteni majina yanayokwenda na wakati hayo yalishapitwa na zama zake .
Kama unavyoona ni ngumu kwa sasa kumpata mzee anaitwa Junior, au Precious 😂😂😂😂😂😂 basi na hayo majina nayo tuachane nayo ,tuangalie majina ya kisasa.