Wazanzibari na dhana potofu ya kichwa bapa, Serikali iingilie kati haraka

Liyan

JF-Expert Member
Apr 7, 2023
300
893
Jambo Jambo?

(Tafadhali sitaki kukashifiana na mtu, nimekula ban kama nne mfululizo mwezi huu.Kama unaona uzi haukufai usikomenti)

Kama umeshawahi kufika Zanzibar au kukutana na wengi wao bara utaona muundo wa vichwa vyao walio wengi kuna shepu maalum.

Kumekuwa na dhana potofu iliyoanza miaka ya nyuma sana na pengine nahisi ilirithiwa toka enzi za ukoloni japo sina uhakika kwasababu sijaona waarabu( wenye asili ya dini) wakienenda na hiyo dhana.

Mtoto akizaliwa Zanzibar basi huwa analazwa kwenye vibati au sakafuni upande wa kichwa kwa miezi kadhaa bila kugeuzwa geuzwa(mtoto analalia mgongo tu)ndani ya ule mwaka wa kwanza aliyozaliwa, ili kutengeneza shepu ya kichwa kuwa bapa nyuma kwa madai ya kuwa “AKIVAA BARAGHASIA APENDEZE”

Hili ni Tatizo na inapelekea kuwa na hitilafu kwa ukuaji wa ubongo na ku “function” properly kwa ubongo na kusababisha mfumo wa fahamu wa mwili kutofanya kazi vizuri.

IMG_5715.jpg


Yani unabadilisha shepu ya kichwa cha mtoto tena sehemu nyeti ya ubongo kisa tu aweze kuvaa hiyo kofia ya kidini.

Hivi Tulirogwa na nani??

Serikali iingilie kati na kutoa mafunzo na kuondoa huu ujinga kwa baadhi ya wazanzibari wenye uelewa mdogo.

IMG_5704.jpg


IMG_5706.jpg



HIVI SI KUKOSOA UUMBAJI WA MUNGU KWA KUMREKEBISHA MTOTO ASIWE NA KISOGO??

Kutwa kuwasema wadada wanaobadilisha shepu na pua na vingine hili je?

WAZANZIBARI WABADILIKE SAWA?
 
Aisee kuna watu hasa wajinga jmni sasa ww unazungumzia wazanzibari hlf unaweka picha za India

Kweli wahaya ni wajuaji mnoo na mkoa wao upo nyuma sana kimaendeleo in mkuu wa mkoa voice

Nenda kapashe moto kiporo cha matoke ule kijana ukapapalie migomba
 
Thread ya maana kabisa hii,

Nilichogundua kwenye hii Dini Kuna ushamba sijapata kuona, au ndiyo maana hata ufaulu wao shuleni huko visiwani umekuwa wa mashaka.

Maana Kwa miaka mingi wamekuwa wakiburuza mikia kumbe ubongo unakuwa artificial
Sijui kwa sasa, lakini kufika 2014 jeshi liliacha kupokea recruits wa darasa la saba, ni kuanzia form four. Wenzetu walikua special case wao ni form two

So, labda serikali inatambua swala lao, na imeamua kuishinao hivyo hivyo.
 
Jambo Jambo?

(Tafadhali sitaki kukashifiana na mtu, nimekula ban kama nne mfululizo mwezi huu.Kama unaona uzi haukufai usikomenti)

Kama umeshawahi kufika zanzibar au kukutana na wengi wao bara utaona muundo wa vichwa vyao waliowengi kuna shepu maalum.

Kumekuwa na dhana potofu iliyoanza miaka ya nyuma sana na pengine nahisi ilirithiwa toka enzi za ukoloni japo sina uhakika kwasababu sijaona waarabu( wenye asili ya dini) wakienenda na hiyo dhana.

Mtoto akizaliwa zanzibar basi huwa analazwa kwenye vibati au sakafuni upande wa kichwa kwa miezi kadhaa bila kugeuzwa geuzwa(mtoto analalia mgongo tu)ndani ya ule mwaka wa kwanza aliyozaliwa, ili kutengeneza shepu ya kichwa kuwa bapa nyuma kwa madai ya kuwa “AKIVAA BARAGHASIA APENDEZE”

Hili ni Tatizo na inapelekea kuwa na hitilafu kwa ukuaji wa ubongo na ku “function” properly kwa ubongo na kusababisha mfumo wa fahamu wa mwili kutofanya kazi vizuri.

View attachment 2607999

Yani unabadilisha shepu ya kichwa cha mtoto tena sehemu nyeti ya ubongo kisa tu aweze kuvaa hiyo kofia ya kidini.

Hivi Tulirogwa na nani??

Serikali iingilie kati na kutoa mafunzo na kuondoa huu ujinga kwa baadhi ya wazanzibari wenye uelewa mdogo.

View attachment 2608003

View attachment 2608004


HIVI SI KUKOSOA UUMBAJI WA MUNGU KWA KUMREKEBISHA MTOTO ASIWE NA KISOGO??

Kutwa kuwasema wadada wanaobadilisha shepu na pua na vingine hili je?

WAZANZIBARI WABADILIKE SAWA?
Ukitaka wenye huo ukamilifu kule tafuta wanawake, hao ndiyo hawajafanya editing ya vichwa vyao ili kupata flat heads.
Wanaume ndiyo hufanya editing ya vichwa vyao
 
Katika watu wajinga duniani ni wazanzibari yaani hivo vichwa vimebinya ubongo mpaka wamekua hawaelewi kabisa. Waache mara moja kufanya watu vichwa bakuli.
 
Back
Top Bottom