Wazanzibari kuwasilisha petition UN

Wazanzibari kuwasilisha petition UN

Pengine maswali hayo hayo uliyoyauliza kuhusu Zanzibar tujiulize na sisi Tanganyika vivyo hivyo kwa nini imekuwa hivyo.
Tujiulize nini? Wao si wanataka kiti, kwanini wasianzie ndani
Wana VP mzanzibar, wajumbe wa NEC-CCM, Bunge n.k. mbona hawafikishi madai yao
Lini umewasikia wakijadili ndani ya baraza la wawakilishi
 
Kama kawaida yetu kuwekeza nguvu nyingi Katika mambo yasiyokuwa na msingi.

Ingepaswa kwa sasa tuwe tunajadili Serikali moja.
 
Ifike hatua tukaachie kanchi kaende kwani tuna hasara gani? Badala ya kujadili mambo ya msingi tunakaa mara oo bara wa Airtel Tigo,na Voda, sisi tuna zantel tu, ni upumbavu

true, true...

na ni ka Zanzibar ndio kalifanya Katiba mpya ikakwama bungeni

stupidity isiyo na maelezo
 
Kujifurahisha kisheria kwa vijikesi kesi na vijipetition rukhsa, hala hala msije kuwachangisha watu pesa za wakili, kwa sababu hakuna kesi hapo!.

  1. Tanzania is one country, URT, a sovereign state, hakuna anayeweza kuingilia mambo yetu ya ndani, sio mahakama yoyote ya nje sio UN.
  2. Muungano wetu ni union, sio federation, tumeungana tumekuwa kitu kimoja, URT, hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika, hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, zote zili surrender their sovereignty na kuunda nchi moja ya Tanzania.
  3. Jamuhuri ya Tanganyika is dead, haiwezi kufufuliwa, na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar pia is dead, haiwezi kufufuliwa.
  4. Zanzibar iliyopo sio nchi, ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani, hakuna sehemu yoyote ya JMT, inayoweza kwenda popote, kudai kutaka kujimega toka JMT!.
  5. Muungano wetu sio wa merger, yaani sio wa kuunganisha, kiasi utasema tutaumega, muungano wetu ni wa fussing, kama chemical reaction ya two chemical zika undergoes a chemical reaction na kuunda a new compound, hakuna tena process ya kuirudisha into its original forms.
  6. Muungano wetu ni wa milele, zile articles of union, zili provide kuungana tuu na hakuna kuachana!.
  7. Kwa vile muungano haukufanyiwa ratification kwa upande wa Zanzibar, then jengeni hoja ya kufanya ratification sasa kupitia BLW, ndipo likatae ku ratifying mseme Zanzibar wamekataa.
  8. Kwa vile muungano ni wa watu, na Zanzibar wana sheria ya kura ya maoni, wawaulize Wanzanzibar, wakisema hawautaki muungano, then watumieni wawakilishi wenu kupitia BLW litoe azimio, mlilete kwenye Bunge la JMT, lijadiliwe, na sisi Tanzania tuulizwe, tukikubali, ndipo sasa itungwe sheria ya kuuvunja muungano, tugawane fito.
  9. Muungano unaweza kumalizwa kwa kuundwa mahakama ya katiba ndio yenye uwezo wa kuuzungumza muungano wetu na sio UN.
  10. Kwa vile kiasili Zanzibar, ni sehemu ya Tanganyika/Tanzania iliomegeka miaka mingi nyuma, then ni Tanzania pekee ndie mwamuzi wa mwisho, airuhusu Zanzibar iende au la sio UN.
Rejea.
Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja!. - JamiiForums

Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums

Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums

P.
toka zako.... huu muungano wabara ndio tunaforce utake usitake na inaonekana wazenj hawajawah ridhia huu ushenz from day 1
 
toka zako.... huu muungano wabara ndio tunaforce utake usitake na inaonekana wazenj hawajawah ridhia huu ushenz from day 1
Kwenye neno toka zako, jibu lake ni asante,
Jee unakijua chanzo cha muungano?. Je unaijua the situation in Zanzibar kipindi cha muungano?. Kama muungano unauita ushenzi, hicho chanzo utakiita nini?.
P.
 
Hakuna cha umoja wa mataifa hapa tutabanana humu humu kwenye Jmhr ya Muungano wa Tz mpaka kieleweke hakuna cha Zanzbar kuwa nchi inayo jitegemea ........mkitaka hivyo wapemba wote mwanze kurudi kwenu pumbafu......kabla hata ya kupeleka UN
 
Kwenye neno toka zako, jibu lake ni asante,
Jee unakijua chanzo cha muungano?. Je unaijua the situation in Zanzibar kipindi cha muungano?. Kama muungano unauita ushenzi, hicho chanzo utakiita nini?.
P.
sasa bwana wewe unadhani ni kwanini wenzetu kila siku ni kulalamikia kua huu muungano hauwafai!? kwann sisi ndio pekee ambao tunakomalia kua unamanufaa!? hapo suala la situation kabla ya muungano halina mashiko cha msingi ni wote turidhie bas..... kwa inavyoonekana huu muungano ulikuwepo kwa ajili ya kulinda maslah mapana ya wakubwa huko ughaibuni thats why hakuna rais ambae hua anajihusisha kwa lolote na process zinazoweza kupelekea kuvunjika kwa hii ndoa.
 
sasa bwana wewe unadhani ni kwanini wenzetu kila siku ni kulalamikia kua huu muungano hauwafai!? kwann sisi ndio pekee ambao tunakomalia kua unamanufaa!? hapo suala la situation kabla ya muungano halina mashiko cha msingi ni wote turidhie bas..... kwa inavyoonekana huu muungano ulikuwepo kwa ajili ya kulinda maslah mapana ya wakubwa huko ughaibuni thats why hakuna rais ambae hua anajihusisha kwa lolote na process zinazoweza kupelekea kuvunjika kwa hii ndoa.
Pata muda piga darasa mitaa hii

Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja!. - JamiiForums
P.
 
Tujiulize nini? Wao si wanataka kiti, kwanini wasianzie ndani
Wana VP mzanzibar, wajumbe wa NEC-CCM, Bunge n.k. mbona hawafikishi madai yao
Lini umewasikia wakijadili ndani ya baraza la wawakilishi
Huko unakokusema ni marufuku kuijadili Zanzibar kwa namna ya kuhoji uhalali wowote !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibari chokochoko haziishi.
Amueni moja na muwe serious.Sio staki nataka,siku zinaenda
Wao walishaamua kama wananchi tatizo ni kiapo cha maraisi, kuwa nitaulinda muungano. Hilo neno ndio huwa kifungu. Kumbuka kiapo ni kiapo hilo ndio tatizo.
Kingine ni mtazamo wa chama tawala juu ya Muungano.. kwani kuna maoni ya wananchi ambayo kiuhalisia sio ya kuvunja muungano lakini kwa sababu mtazamo wa chama uko tafauti basi ndio inakuwa tatizo

mwanza kwetu
 
Back
Top Bottom