Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 15,670
- 14,644
Huko Dodoma swala la Sukari likeshindwa kupewa jibu lenye mashiko sembuse la Muungano
Huko Dodoma swala la Sukari likeshindwa kupewa jibu lenye mashiko sembuse la Muungano
Suala la sukari ni rahisi tuHuko Dodoma swala la Sukari likeshindwa kupewa jibu lenye mashiko sembuse la Muungano
Si uoneshe hiyo tanganyika ipo wapi bajeti yake ipo wapi,bunge lake lipo wapi hatutaki ujanja ujanjaTanganyika ndiyo Tanzania kwa maana ya kwamba ndiyo imebeba muungano
Kama haipo huu muungano umebebwa na nani , na kama znz ipo inachangia nini?
Katika muungano znz inachangia 0, hata wabunge wanaokuja kwa ajili yao wanalipiwa na kodi za Watanganyika. Think about that!
Kiuchumi znz inachangia 0, hakuna unachoweza kuonyesha ni kipi mchango wake
Unazunguka zunguka lakini ukweli upo pale pale, hiyo Tanganyika ndiyo imebeba muungano kwa gharama na uendeshaji. ZNZ ipo katika muungano kwa jina tu, nzuri inapendeza
Rejesheni tanganyika yenu sio kukaa na kuanza lawama,hii mbeleko ya muungano mnayo itegemea kuna siku mtakuja kulia machozi ya damu,muda utaongea.Suala la sukari ni rahisi tu
Waziri Mwijage yupo sahihi. Makonda hatoshelezi soko la znz, ya kuuza bara inatoka wapi?
Znz imetumia uchochoro wa kukwepa kodi au kodi rahisi kuingiza bidhaa za nje.
Halafu wanatumia uchochoro wa muungano kuingiza bara
Mathalani, mfanyabiashara wa bara akiingiza friji , TV au gari analipa kodi TRA kama sehemu ya mapato ya muungano ambayo znz inapata 4.5% na mzigo wa muungano
Mfanyabiashara wa ZNZ analipa kodi TRA znz, hazivuki bahari bali kutumiwa na SM
Bidhaa zinaingia bara kwa mgongo wa muungano bila kodi. Hapa kuna mambo mawili
Kwanza, mfanyabiashara wa Tanganyika atauza kwa bei ya juu kwasababu amelipa TRA
Mfanyabiashara wa znz atauza kwa bei ya chini, hakuna 'fair trade'
Pili, kupitia uchochoro wa znz, TRA itakosa mapato.
Mzigo ataubeba Mtanganyika kutoka vyanzo vingine ikiwemo mishahara au bidhaa.
Waziri Mwijage yupo sahihi, suala la sukari ni mwendelezo tu wa uchochoro wa siku nyingi
Miaka 3 au zaidi hapo nyuma wznz waliingiza makotena ya 'used' baiskeli kutoka nje
Kontena linalipiwa dola 150 znz na linalipiwa zaidi ya dola 2000 likishukia Bara
Baiskeli za znz zinaingia na kuuzwa Bara kwa kisingizio cha muungano
Kukawa na mwendelezo wa bidhaa nyingine kama sukari na maziwa
Leo ukiwaruhusu sukari, kesho wataleta nyama ingawa hawana ng'ombe, keshokutwa dawa za wanyama/ binadamu kwasababu zile zile.Utawazuiaje ikiwa umeshawafungulia mlango?
Solution ilikuwa ni TRA kukusanya kodi kwa ujumla, hapo kungekuwa na usawa kama ule wa mfanyabiashara wa mwanza kuingiza bidhaa kutoka Kenya au Uganda
Wazanzibar hawataki, wanachotaka ni kukusanya mapato yabaki kwao halafu mlango ufunguliwe kuingiza bidhaa sokoni bila kulipia kodi kwa muungano, wakimaliza wanautukana
Ikumbukwe, walitaka kuwa na biashara za nje binafsi wakisema bara inaweka kauzibe
Hii ilikuwa fursa nzuri kuuza maziwa au sukari nje bila kuingiliwa na muungano. Hawataki
Tunawaambia wznz siku ukiacha chochote cha muungano, soko la bara ni faida kwao.
Kadri wanavyoondoa na kupunguza mambo ya muungano wanajiumiza wenyewe
Tanganyika haitegemei znz kwa soko la bidhaa, ajira n.k.ni ukweli unaopingwa na punguani tu
Si uoneshe hiyo tanganyika ipo wapi bajeti yake ipo wapi,bunge lake lipo wapi hatutaki ujanja ujanja
Kwamba Znz yenye uchumi mdogo kuliko Mkoa mmoja wa bara inanyonywa na Tanganyika! Kwamba, kwa GDP na Bajeti ya znz mtu anakwenda kuiba nini? Bill ya umeme hawawezi, halafu wananyonywa! Fikiria mkazi wa Ilala au Muheza Tanga analipa bill ya Umeme kila mwezi, SMZ haiwezi! hadi isemwe tena ipewe miaka 2 ya kulipa
Hivi unaweza kukamua jiwe ukitaraji maziwa!
Mkuu yawezekana nimeathirika na malezi ya CCM lakini nakuhakikishia siipendi CCM hata uniwekee bunduki kichwani
Nilivyofahamishwa kuhusu Karume na unavyoniambia ni vitu viwili tofauti.
Iwapo aliyafanya hayo ulioandika basi jamaa alikuwa mbabe
Nilivyoambiwa ni kwamba jamaa aliwakomesha waarabu na wangazija waliokuwa wakiwabagua wanzanzibari weusi
Kwani wangazija ni weupe? Tumekua tukiishi kwa mifumo ya kipropaganda sana kwenye hii nchi yetu.
Wangazija ni weusi lakini nilivyoambiwa ni kuwa walikuwa wakiwabagua sana waunguja wenzangu.
Sina uhakika kama ni kweli au ni porojo
mkuu wewe ni muunguja ?
Mzazi wangu mmoja ni wa Mrima na mwengine ni mpemba
Bila ya shaka mazingira ya unguja utakua unayafahamu japo kidogo.
Kuna Muarabu anaepata kazi ya Polisi Unguja? Jeshi? hata kazi za serkeali za kawaida vipi wananafasi yakupata kama wanavozipata watu wengine?
Mkuu mbona Jussa ni mjumbe wa baraza la wawakilishi?
Mkuu mbona Jussa ni mjumbe wa baraza la wawakilishi?
Swali hujajibu mkuu umerukia swali lako.
Sijaona polisi wala mwanajeshi wa asili ya kiarabu sio Zanzibar wala Mrima
hata wakiwabania waarabu kamwe hawatolala njaa na waarabu always wana hadhi ya juu kimaisha licha ya kubanwa kwenye kila aina ya fursaBila ya shaka mazingira ya unguja utakua unayafahamu japo kidogo.
Kuna Muarabu anaepata kazi ya Polisi Unguja? Jeshi? hata kazi za serkeali za kawaida vipi wananafasi yakupata kama wanavozipata watu wengine?
Mkuu mbona Jussa ni mjumbe wa baraza la wawakilishi?
hata wakiwabania waarabu kamwe hawatolala njaa na waarabu always wana hadhi ya juu kimaisha licha ya kubanwa kwenye kila aina ya fursa
hata wakiwabania waarabu kamwe hawatolala njaa na waarabu always wana hadhi ya juu kimaisha licha ya kubanwa kwenye kila aina ya fursa