johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,930
Aliondoka nao kwenda wapi?Kwa hiyo utajiri wote wa Zanzibar aliondoka nao Bakhresa?
Amandla...
Hata sasa Zanzibar ni Tajiri kuliko Tanganyika
Wawekezaji Wengi wa Tanganyika ni Wapemba na Wakinga