Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
Halafu tufahamishe machifu tanganyika walikuwa wanawakusanya vipi watumwa.

Tatizo lenu shule shule shule Al Ritz...unataka ufahamishwe hadi hao machifu walikusanya vipi watu,we ukisikia Abushiri ameuza waswahili wenzake unajua yeye ndio alifanya kila kitu? awa walikuwa viongozi...Ni kama leo uambiwe Umar Al Bashir kaua raia wake,utauliza aliwauajeuwaje??someni ndugu zangu.
 
Wewe ndo umeng'ang'a na vitabu vya w Ingrams bila kujua yeye anaweza kuwa driven na self emotions na akaupindisha ukweli.

Historians estimate that between
650 and 1900, 10 to 18 million
peoples were enslaved by Arab
slave traders and taken from Africa
across the Red Sea , Indian Ocean ,
and Sahara desert. [4][5][6][7] The
term Arab when used in historical
documents often represented an
ethnic term, as many of the "Arab"
slave traders, such as Tippu Tip
and others, although with distant
patrilineal descent from Arabs,
were physically indistinguishable
from the "Africans" whom they
enslaved and sold. Due to the
nature of the Arab slave trade, it
is impossible to be precise about
actual numbers.hiyo ni kwa mujibu wa vitabu vilivyokusanywa na kuusaka ukweli....

Kuhusu ushahidi juu ya watumwa waliochukuliwa unataka kusema wanaume hawakuwepo? Na ukitaka kujua iwapo waarabu walianza biashara ya utumwa lini rudi kwenye vitabu

Poor lumanyisa, Ivyo unaniletea copy and paste ya Wikipedia pahala ambapo hata mwenda wazimu anaweza kuhariri na kuweka atakacho. Teh teh.

Yaani unataka kunambia huyo Ingrams alikuwa na self interest gani hata akawa anafichia Waarabu, uongozi wa British Empire nzima imemuamini na kumleta yeye Zanzibar ili akusanye data na akatoa hiyo ripoti serikalini kwao na kuaminiwa na kupata tuzo ya kifalme kwa kazi nzuri alofanya wewe unasema he was driven by self interest haya basi niletee report ilomkanusha yeye mpaka leo karne nzima baadae.

Mimi naipinga ile study ya kisayansi ya kina Hume kuwa waafrika hawawezi kufikiri maana nina mchanganyo wa damu ya kiafrika nina wajamaa wengi wenye asili ya kiafrika wakiwemo wapwa na mabibi na mashangazi, sikubali hawa wadhalilishwe kabisa! Lakini labda kulikuwa na watu wenye fikra kama zako walitumiwa katika maabara yao ndio maana wakatoa ripoti ile.

Pole sana, maana hujanitajia kitabu hata kimoja. Lakini nitakusaidi ili upate mwanga uelimike nakuomba nenda pale Mlimani UDSM katafute hivi vitabu kimoja cha huyo Ingrams na chengine kinaitwa "Zanzibar" by J. PEARCE huyu yeye ndie aliekuwa British Resident Zanzibar kabla ya Lord Mathews.

Pia katafute kitabu kinaitwa "Zanzibar The Staples of East Africa", ila kajifunze kwanza kusoma Kijerumani ili uweze kukisoma.

Pole sana!
 
Last edited by a moderator:
Poor lumanyisa, Ivyo unaniletea copy and paste ya Wikipedia pahala ambapo hata mwenda wazimu anaweza kuhariri na kuweka atakacho. Teh teh.

Yaani unataka kunambia huyo Ingrams alikuwa na self interest gani hata akawa anafichia Waarabu, uongozi wa British Empire nzima imemuamini na kumleta yeye Zanzibar ili akusanye data na akatoa hiyo ripoti serikalini kwao na kuaminiwa na kupata tuzo ya kifalme kwa kazi nzuri alofanya wewe unasema he was driven by self interest haya basi niletee report ilomkanusha yeye mpaka leo karne nzima baadae.

Mimi naipinga ile study ya kisayansi ya kina Hume kuwa waafrika hawawezi kufikiri maana nina mchanganyo wa damu ya kiafrika nina wajamaa wengi wenye asili ya kiafrika wakiwemo wapwa na mabibi na mashangazi, sikubali hawa wadhalilishwe kabisa! Lakini labda kulikuwa na watu wenye fikra kama zako walitumiwa katika maabara yao ndio maana wakatoa ripoti ile.

Pole sana, maana hujanitajia kitabu hata kimoja. Lakini nitakusaidi ili upate mwanga uelimike nakuomba nenda pale Mlimani UDSM katafute hivi vitabu kimoja cha huyo Ingrams na chengine kinaitwa "Zanzibar" by J. PEARCE huyu yeye ndie aliekuwa British Resident Zanzibar kabla ya Lord Mathews.

Pia katafute kitabu kinaitwa "Zanzibar The Staples of East Africa", ila kajifunze kwanza kusoma Kijerumani ili uweze kukisoma.

Pole sana!

Mkuu nakusoma sana kwa bayana zako hizi!

Hawa watoto ndio matatizo yao hayo!

Wanajisahau kuwa wiki pedia hata wao wanaweza kuandika mawazo yao humo!.

Well said!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lenu shule shule shule Al Ritz...unataka ufahamishwe hadi hao machifu walikusanya vipi watu,we ukisikia Abushiri ameuza waswahili wenzake unajua yeye ndio alifanya kila kitu? awa walikuwa viongozi...Ni kama leo uambiwe Al Bashir kaua raia wake,utauliza aliwauajeuwaje??someni ndugu zangu.
Shule ipi sasa? Labda nikuulize wewe na Mbowe au Lema nani alikimbia shule tuanzia hapo.
 
Shule ipi sasa? Labda nikuulize wewe na Mbowe au Lema nani alikimbia shule tuanzia hapo.

Umeshindwa hoja unatafuta pakuchomokea...ila sikushangai ndio uwezo wako wa akili unaishia hapo,shule hamtaki ila wajuvi wa kupiga soga,ndio maana hapa jamvini haujawai toa lolote la msingi zaidi ya ushabiki....debe tupu?
 
Umeshindwa hoja unatafuta pakuchomokea...ila sikushangai ndio uwezo wako wa akili unaishia hapo,shule hamtaki ila wajuvi wa kupiga soga,ndio maana hapa jamvini haujawai toa lolote la msingi zaidi ya ushabiki....debe tupu?
Hivi wewe una hoja gani humu ulishaandika nini cha maana kwa akili yako mimi naweza kukukimbia wewe si bora nijiuwe kauzu kama wewe una hoja gani JF kuna vituko...teh teh teh
 
Hivi wewe una hoja gani humu ulishaandika nini cha maana kwa akili yako mimi naweza kukukimbia wewe si bora nijiuwe kauzu kama wewe una hoja gani JF kuna vituko...teh teh teh

Kuandika kwenyewe uwezi,kweli nchi inawatu wengi wasiojua kuandika,au ndio madhara ya anticlockwise!! ila tatizo lako linafahamika sana,na tutawanyoosha..Mpaka muione kweli na muipokee,kwa kupenda au kutopenda.
 
Ndugu ukubwa wa eneo ktk nchi ama wingi wananchi si hoja madhubuti ya kuiona nchi haiwezi kujitawala. Zipo nchi zenye wakazi chini ya milion 1 na zina utawala kamili kama nchi. Hoja hapa Wazanzibar huu si muda wa malalamiko tu, ni wakati pia ma kuweka mikakati tunajipangaje kama nchi kua nje ya muungano? Naamini huu moto tuliouwasha sisi kwa makele wenzetu watanganyika wanajiandaa kimyakimya.
Nakuunga mkono kwa 100% udogo wa eneo na uchache wa wananchi sio hoja ya msingi ya Z'bar kushindwa kujitawala. Tujiulize kwani kila kukicha serikali yetu inatangaza wilaya na mikoa mipya? Jibu kutoka kwa watawala wetu nini? kama jibu ni kusukuma maendeleo na kutawala kiurahisi iweje leo Z'bar ishindwe kujitawala au kujiletea maendeleo kwa sababu ya udogo wake? Tuwe wakweli Z,bar ikiwa na mamlaka kamili inaweza kuendelea zaidi kuliko hivi ilivyo. Tujiulize wazanzibari watashindwa nini ambacho Tanganyika inafanya? kuomba misaada? Kipi ambacho Tanganyika tunajivunia?, hata hivyo ambavyo tunasema tunawasaidi wazanzibar wenyewe tumepata kwa kulialia, kuombaomba kwa wazungu. Rais wa Z,bar hata shindwa kuomba misaada kama anavyofanya rais wa jamuhuri.
 
Kuandika kwenyewe uwezi,kweli nchi inawatu wengi wasiojua kuandika,au ndio madhala ya anticlockwise!! ila tatizo lako linafahamika sana,na tutawanyoosha..Mpaka muione kweli na muipokee,kwa kupenda au kutopenda.
Teh teh teh! Wewe kweli ndiyo unajua kuandika? nimeona ulivyoandika nimecheka sana wewe Mkinga utanifundisha mimi kiswahili eti "Madhala" ebo

Kwi kwi kwi kwi!
 
Teh teh teh! Wewe kweli ndiyo unajua kuandika? nimeona ulivyoandika nimecheka sana wewe Mkinga utanifundisha mimi kiswahili eti "Madhala" ebo

Kwi kwi kwi kwi!

Haujawai kuwa na hoja,na haitakaa itokee...Mlevi wa kahawa.
 
Nakuunga mkono kwa 100% udogo wa eneo na uchache wa wananchi sio hoja ya msingi ya Z'bar kushindwa kujitawala. Tujiulize kwani kila kukicha serikali yetu inatangaza wilaya na mikoa mipya? Jibu kutoka kwa watawala wetu nini? kama jibu ni kusukuma maendeleo na kutawala kiurahisi iweje leo Z'bar ishindwe kujitawala au kujiletea maendeleo kwa sababu ya udogo wake? Tuwe wakweli Z,bar ikiwa na mamlaka kamili inaweza kuendelea zaidi kuliko hivi ilivyo. Tujiulize wazanzibari watashindwa nini ambacho Tanganyika inafanya? kuomba misaada? Kipi ambacho Tanganyika tunajivunia?, hata hivyo ambavyo tunasema tunawasaidi wazanzibar wenyewe tumepata kwa kulialia, kuombaomba kwa wazungu. Rais wa Z,bar hata shindwa kuomba misaada kama anavyofanya rais wa jamuhuri.
Ngoja nami nichangie.
Kwanza hakuna ubishi wowote kuwa muungano unawabana Wazanzibar.

Pili binafsi ninapenda sana kuiona Zanzibar ikiendelea tena NJE ya muungano, ukiniuliza sababu ninaweza kukupa "lukuki" ya sababu.
Lakini kauli zinazotoka kwa viongozi wa pande zote mbili (CCM &CUF) zinakatisha tamaa.

Wanahitaji "kusukumwa" ili tupate "best out of them.
 
Teh teh teh! Wewe kweli ndiyo unajua kuandika? nimeona ulivyoandika nimecheka sana wewe Mkinga utanifundisha mimi kiswahili eti "Madhala" ebo

Kwi kwi kwi kwi!

Teh teh teh teh! Ritz unanipasua mbavu.
 
Last edited by a moderator:
Makamee nvipi kaakeee! Hujiamini nini ndugu yangu.

Nchi yenye idadi ya watu wasiozidi milioni mbili watakupaje shida ya kuwaongoza.

Nje ya muungano, unaifanya Zanzibar iwe nchi ya kibiashara tu na kuitangaza kuwa free port. Hapo unamaliza kila kitu.

Umeshasahau kipindi cha nyuma ambapo flying horse ilikuwa inajaa mizigo kuelekea Tanzania bara?

Sasa hivi flying horse inajaa wapiga kura hewa tu wakati wa uchaguzi baada ya TRA kuweka vizingiti vya kodi sawa na Tanzania bara.

Zanzibar nje ya muungano inawezekana bila hata ya kupepesa macho acha kutishwa na wakoloni weusi!
 
Nje ya muungano, unaifanya Zanzibar iwe nchi ya kibiashara tu na kuitangaza kuwa free port. Hapo unamaliza kila kitu.
Watanganyika nao wana bandari nyingi tu, je mumejiandaa vipi kama wakiamua kuiingilia "game".

Kenya nayo haiwezi kukaa na kuangalia wakipitwa hivi hivi tu na Tanganyika na Zanzibar.
 
Tofauti ya hizo nchi ulizozitaja na Zanzibar ni kwamba Zanzibar haina cha kuhofia kuhusu kile kinachoitwa 'protection of infant industries'

Kwa hiyo hizo nchi nyingine zitabakiwa na karata ya kutumia kodi kama kinga lakini Zanzibar haitakuwa na cha kupoteza kiuchumi zaidi ya gains.
 
"Haa! hivi kwani kabla ya huu muungano tulikuwa tukijiendeshaje? tumetimiza miaka 50 ya uhuru na mapinduzi, hivi lengo la yote hayo tuyasalimu mamlaka yetu kwa nchi nyengine atuendeshee?

Unavyoongea ni kam Mh Nahodha, kisha anaunyemelea Urais wa Zanzibar wakati tayari hajiamini kiulinzi wala kiuchumi. Wapo wanoweza na ndio tutowaweka madarakani 2015"
Pamoja na kwamba binafsi siupendi hu muungano na ningependa ufe hata leo lakini nahisi hujamjibu maswali yake aliyo uliza, idadi ya miaka sio tija, kwa mtazamo wangu mmefika hapo kwasababu mlikua mnalishwa na jirani, yaani ni watoto wasiokua, umri mkubwa lakini chakula na mahitaji yote muhimu mlikua mnapokea toka Bara
 
Hi thread sasa imegeuka kua ya mipasho, wengine wanawatetea Waarabu while wengine wanawatetea Wazungu, inategema kila mtu na alivyo soma Historia, kwangu mimi Mzungu au Mwarabu wote washenzi tu, wote hao wana mwona mtu mweusi ni mtumwa wao, ni ujinga kumtetea yoyote hapa, turudi kwenye topic iliopo mezani, Zanzibar imejiandaa kujitegemea? Kwa mtu wa bara (asie mwanasiasa, Riz 1 hapa hata ukikaa kimya ni bora cause na wewe ni mtoto wa mwana siasa) mungano hauna faida yoyote kwake, ni mzigo tu, tunalea watu bila sababu yoyote, bora waende tu.
 
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi tafiti zinaonyesha kuwa baada ya miaka hamsini ijayo visiwa vya Pemba na Unguja vitakuwa vimemezwa na bahari. Hii pia haihitaji wageni wa nje waje wawaonyeshe bali ni nyie kufanya juhudi kidogo tu kuwauliza wazee wenu wa miaka ile na kuangalia kingo za bahari mtakuwa mmepata majibu kwa wepesi zaidi. Wanasiasa ni wajuvi wakuongea majukwaani na kusimulia uwepo wa nchi ya ahadi, msipumbazwe na masimuliza ya Singapore au Dubai angaliehistoriayenu kama taifa mtagundua ghiriba ya watawala. Katika kadhia hii ya kuitana majina yasiyo na staha je mlisha jaribu kuongelea suala la ardhi na uwiano wa watu!!!!(jinsi mnavyo zaliana), je mlisha jaribu kutafiti hisia za watanganyika juu ya maneno ya dharau na kashfa mnayo toa dhidi yao na mustakabali wa nchi hizi mara baada ya kujitenga!!!. Madai mnayoyataka ni kweli yana msingi na ni haki yenu kama taifa like kujiunga na OIC kuwa na mafungamana na nchi zingine nje ya mwamvuli wa Tanzania lakini ni nchi ngapi ni wanachama wa hizo jumuiya na wamepata hayo maendeleo mnayoyatamani?, je si kweli kwamba wanasiasa wanataka kufanya ukuwadi wa rasilimali mlizo nazo kwa hawa they so called wawekezaji!!
Tahadhari yangu kwenu ni kuwa historia haiongopi mjihadhari na kuanza kutafuta mzanzibari halisi maana mlisha anza kwenye mijadali katika mitandao ya kijamii - ref balozi Karume na comments zake - Nalikumbuka sana soko la utumwa zanzibar ila utumwa wa kifikra kwa karne hii ndo mbaya zaidi maana huyo unaye mwabudu naye anakwake na vipaumbele vyake katika suala la maendeleo na siku zote jaribu kuwa na amani na majirani zako wa karibu kuliko rafiki wa mbali kupata msaada wakati wa shida (kwa uharaka) itakuwa ni ngumu. TUZIRUHUSU FIKRA ZETU ZIFIKIRI MBALI ZAIDI KULIKO MAHITAJI YETU YA SASA maana kunawenzenu walishindwa uchaguzi na sababu walizotoa ni kwamba uwingi wa watanganyika eneo lile ndo sababu ya wao kushindwa na ndio hawa wanaopiga ngoma hii ambayo wengi tunaicheza bila kujua ni nani kamlipa mpiga zumali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom