Wazamiaji wa miaka ya 90

Nakumbuka kulikua na ishu ya penpal..au penfriend...hhaa nilikua na penpal mtu na mkewe hawanaga mtoi..basi nikajieleza balaa kwa dingi haelewi somo...dah! Those yrs ..sio vitoto vyw miaka hii havina hata mawazo hayo
Huko penpal Nina marafiki kadhaa , mmojawapo ni huyu anaitwa Chriss alikuja bongo mwaka Jana kipindi Cha sikukuu.

Ni mmarekan ila alitokea Malawi alikuwa anafanya kazi na peacecorps.
 
Huko penpal Nina marafiki kadhaa , mmojawapo ni huyu anaitwa Chriss alikuja bongo mwaka Jana kipindi Cha sikukuu.

Ni mmarekan ila alitokea Malawi alikuwa anafanya kazi na peacecorps.
View attachment 1476462


😊😊😊 kuna mzungu mmoja alikuja 2005kama sikosei alikuja kufunga mamitambo ya beni fulani mpya mpya..bas akanipendaga...kipindi hicho naingia chuo ...ametokea Malawi...akawa anashangaa anakuita unakuja alone..anasema Malawi ukimtongoza mmalawi anakuja na ndugu zake au family nzima .dah.. 😭😭😭
 
Nakumbuka kulikua na ishu ya penpal..au penfriend...hhaa nilikua na penpal mtu na mkewe hawanaga mtoi..basi nikajieleza balaa kwa dingi haelewi somo...dah! Those yrs ..sio vitoto vyw miaka hii havina hata mawazo hayo
Penpal imebikuranisha na wagen wengi mpaka Sasa Nina account huko tangu mwaka 2010 na iko active.. kwa mfano mwez Jana Kuna huyu Beberu alibicheki hewan anafanya kazi tieto anaifukuzia fursa za kufanya kazi tz..


 
Hahaha kwanini hukuchukua fursa [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Laiti ungevipangilia visa kimoja baada ya kingine ingekua poa sana mkuu, anyway kuzamia miaka 90 mpk 2000 ilikua risky sana na tumepoteza watu kibao tu mkuu.
Vijana wa zamani ..hizi ndio ilikuwa story zao ..na ambition zao
 
Tanzania soon itakuwa kama Ethiopia. Viongozi wanaendeleza maendeleo ya vitu huku wakisahau maendeleo ya watu
 
Kwamba alivutiwa na hali ya wewe kwenda peke yako ?
 
Kweli Mkuu,,, ni kama mwituni,,,kwanj mwituni wanaotamba ni wale Wanyama wakali kama SIMBA,,,Chui,,na fisi ,,na Mbwa mwitu,,Wanyama kama swala,,nyumbu pundamilia na wale wote wanaokula majani,,,,hakika shughuli wanazopata kila mtu anazifahamu..ni sawa na Africa...wale wenzetu wenye mamlaka fulani,,,au wapambe wa wenye mamlaka ,, au wenye pesa ndy wanaotamba,,,,africa..yapo mambo mengi sana ukiyatafakari kwa kina pasi na shaka,,Africa ni mwituni...
 
Daaaa et unatafutiwa patna wa kukuliwaza ***** so unaenda kuliwa kiboga kweli[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Acha namimi nishare ideal yangu hapa,
Hii kwavijna mwenye ndoto ya kwenda huko wanakokuita Europe.
Moja, futa wazo la kutaka kujilipua! Kwasababu utakapo fanya hivyo utajiharibia status yako ya Utanzania. Kwa saivi Ulaya warabu kutoka Syria na nchi nyingine za Africa kwa kuzamia saiv siyo rahisi na pia kupata karatasi imekuwa ngumu sana,

Kuna njia moja ambayo ukiitumia ndoo itakuwa rahisi sana kuingia ulaya.
Njia yenyewe ni:
Kuoa au kuolewa,
Tafuta mwanamke au mwanaume mwenye uraia wa ulaya hapo utakuwa umefanikiwa kiasi,
Zanzibar ni sehemu ya kutimiza ndoto yako nina uhakika 100% kama una swali lolote niulize.
Samahani kwa mwandiko wangu mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…