Wazamiaji wa miaka ya 90

ila ukikaa ukawaza vzur utagundua kweli africa tyupo mwitun yaan
watawala ndo miungu watu...wanaweza kufanya lolote linalowajia akilin yan wanaweza sema hata watu watembee uchi na asiwepo wa kubisha

wakigundua mtu n tajir utawaskia "tunachunguza chanzo cha utajiri wako" akat kuna maskin lukuki na hakuna aaechunguza chazo cha umaskin wao

yaan bongo daaaah
 


Hicho ndo kinachonikera mimi....juzi nilijisahau nikaabgalia bunge yule kessy na ndugai yaan unabaki kujiuliza kuna shida gan bongo?
Mie hapa nna hasira na TRA basi tu
 
Mkuu nimekwambiya kila mtu ana sababu zake kwann unajilipua ulaya,,hata mm nilishindwa kujilipua Greece nikiwa na umri wa miaka 32 ..na kilichonifanya nirudi ni kutopata nafasi ya kupata makaratasi kwa wakati,,,na bado kuna watu hadi Leo mwaka wa 12 wapo pale hawajapata makaratasi,,, kama ingekuwa kusubiri miaka 2 isingekuwa tatizo kusubiri,,,kuna watu shida yao ni makaratasi tu,,kuna watu shida yao kuishi ulaya...unaweza ukajilipuwa kwa miaka miwili ,,ikakusaidia miaka ijayo....kumbuka unapojilipuwa kuna pesa unapewa za kujikimu,,,mfano euro 300 utalipwa kila mwezi,, hazitoshi kusaidia family wakati ukisubiri makaratasi? Kinachoumiza watu wengi ni wivu...
 
Mkuu hizo euro 300 unalipwa kwa shughuli ipi unayoifanya wakati haupo huko ?
 
Siyo kila mtu anaweza kuishi ugenini. Nakumbuka hata wengi ya wazazi wetu waliokulia vijijini ukiwaleta sehemu kama Dar kuishi huwa wanageuza mapema sana. Tena unakuta wakiwa Dar ndiyo wanakula na kunywa vizuri na kila kitu kipo. Wapo radhi waende kuishi kijijini kwenye kila aina ya dhiki kuliko kukaa mjini.
 


Ila kweli tunepishana sana jamani!
 
Ila kweli tunepishana sana jamani!
Sema corona imetuharibia sana nilikuwa nafanya kazi na Mabeberu sana hususan Dada zao. Mwaka huu nilikuwa nimepanga lazima niwe mbele maana Nina marafiki kibao sema nilikuwa sijawapa wazo la kuzamia.

Naona CCM imeamua kuleta corona kutuharibia mipango yetu. Kweli Africa n laana.

Huyu kwenye picha ni moja ya demu wa kibeberu aliwahi kuja bongo huwa haipiti wiki hajanicheki.
 

Attachments

  • IMG_20200612_180017.jpeg
    48.1 KB · Views: 14


Hhhaaa ila kweli tunapishana sana sana
 
Ile miaka watu walikua na morale sana ya kujilipua watoto wa gomz daslamu na Tanga wengi walijilipua sana..mpaka sasa si ajabu kukuta kuna familia ambazo wana ndugu wako "mbele" kwa wale ambao walitusua!
 
Ile miaka watu walikua na morale sana ya kujilipua watoto wa gomz daslamu na Tanga wengi walijilipua sana..mpaka sasa si ajabu kukuta kuna familia ambazo wana ndugu wako "mbele" kwa wale ambao walitusua!

Nakumbuka kulikua na ishu ya penpal..au penfriend...hhaa nilikua na penpal mtu na mkewe hawanaga mtoi..basi nikajieleza balaa kwa dingi haelewi somo...dah! Those yrs ..sio vitoto vyw miaka hii havina hata mawazo hayo
 
Sasa cha kushangaza uchumi wa Ethiopia nimubwa kuliko wa Tz lakini raia wa Ethiopia nimasikini sana kuloko raia wa Tz ni Ethiopia peke Africa yenye mradi wa umeme mkubwa kuliko nchi yoyote Africa una gharama ya $1.5bn, watazalisha umeme paka wakuuza nje ya nchi
 
Dah!...noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…