Unapaswa kwanza ufahamu Prof Asad ni nani huko nje? Usifikiri Profesa ni mzito hapa tu, anaaminika kimataifa, majibu yake yaliulenga pia kulinda credibility yake. Hivi kusema Bunge ni dhaifu ukiwa nje inaathari gani ukilinganisha na kudanganya kwamba Bunge sio dhaifu wakati ni dhaifu na inajulikana hata huko nje?Huwezi kumtetea mtu anayeivua nguo nchi akiwa nje ya nchi tenakwa rank yake hatufai kabisa.kama kuna shida na ripoti yake mbona taratibu ziko wazi kwa mujibu wa sheria.Serikali haiwezi kuwavumilia wote wanaichafua wakiwa huko nje kwa kisingizio Cha Uhuru wa kujieleza au demokrasia