M MAKULUGA JF-Expert Member Jan 21, 2011 7,173 9,398 Jun 13, 2023 #1 Salamu, Naomba kujua namna ambavyo Mzabuni anaweza kupanga Bei ya bidhaa wakati wa tendering. Je, Kuna Mwongozo WOWOTE wa kisheria au Kanuni? Mfano ..Kama Bei ya nyama sokoni ni Sh.8000/ ,au Sembe Kg ni Sh.1500/ Hapo Bei za Zabuni zinakuwaje?
Salamu, Naomba kujua namna ambavyo Mzabuni anaweza kupanga Bei ya bidhaa wakati wa tendering. Je, Kuna Mwongozo WOWOTE wa kisheria au Kanuni? Mfano ..Kama Bei ya nyama sokoni ni Sh.8000/ ,au Sembe Kg ni Sh.1500/ Hapo Bei za Zabuni zinakuwaje?
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,638 697,929 Jun 13, 2023 #2 Unaongeza faida toka kwenye bei yenye faida Unaongeza asilimia ya wahusika Unaongeza asilimia itakayopunguzwa
Unaongeza faida toka kwenye bei yenye faida Unaongeza asilimia ya wahusika Unaongeza asilimia itakayopunguzwa
Spectophotometer JF-Expert Member May 23, 2019 290 438 Jun 18, 2023 #4 Zidisha Mara 0.5 kila bidhaa utapata bei reasonable mkuu. Mfano Sukari Bei ni 3000 Bei yako itakuwa 3000x0.5=1500+3000=4500 So bei isizidi 4500
Zidisha Mara 0.5 kila bidhaa utapata bei reasonable mkuu. Mfano Sukari Bei ni 3000 Bei yako itakuwa 3000x0.5=1500+3000=4500 So bei isizidi 4500
M MAKULUGA JF-Expert Member Jan 21, 2011 7,173 9,398 Jun 18, 2023 Thread starter #5 Spectophotometer said: Zidisha Mara 0.5 kila bidhaa utapata bei reasonable mkuu. Mfano Sukari Bei ni 3000 Bei yako itakuwa 3000x0.5=1500+3000=4500 So bei isizidi 4500 Click to expand... Ahsate,hapo na VAT inejunuishwa ??
Spectophotometer said: Zidisha Mara 0.5 kila bidhaa utapata bei reasonable mkuu. Mfano Sukari Bei ni 3000 Bei yako itakuwa 3000x0.5=1500+3000=4500 So bei isizidi 4500 Click to expand... Ahsate,hapo na VAT inejunuishwa ??
Spectophotometer JF-Expert Member May 23, 2019 290 438 Jun 19, 2023 #6 MAKULUGA said: Ahsate,hapo na VAT inejunuishwa ?? Click to expand... Yeah! Unahisi hutapata faida?