Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,816
- 11,541
Dah mimi mazee weed ndo imenipunguzia nguvu za kiume mazee.Alafu ni dawa kwa wenye presha ya kupanda au kwa wale wazee wa kimoja chali
Yani sina arosto na kumer tena nina arosto na weed.
Dem anaweza akasema aje, nikampiga stop ili niende kumoka na wana