Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #21
mkuu acha utani bana kwnye issue serious, lakini sishangai maana kuna pombe inatengenezwa kwa miwa pande za lushoto maarufu kama BOHA, ni nzuri kushinda bia, na chupa moja 200/= tu.
hizo sasa ziuzwe 1000/=,kodi iwe 800/= na watengenezaji waendelee kupata 200/= yao
kama kawaida,...
Sijui kwanini hawa watu hawataki niwashauri aggrr