lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
- Thread starter
- #61
Umeanza! Nakwambia umeanza uchokozi. Kama unataka uhamishwe jiji la DSM, gusa maisha ya 'watu wa Mlimani city'!
mambo vp mkuu
Umeanza! Nakwambia umeanza uchokozi. Kama unataka uhamishwe jiji la DSM, gusa maisha ya 'watu wa Mlimani city'!
ha ha ha ha......kanisema ha ha ha....
casablanca ndio mambo yote,florida mama ngina avenue nyerere avenue sehemu za kuvuta shisha
Casablanca nilishakunywa pale juu kuna mwanamke wa kijaluo anacheza kuanzia saa moja mpaka sita nonstop. nikashuka chini nikalipa elfu tatu nikatizama wale watatu walio uchi wa mnyama baadae.........nitaharibu watanzania ngoja niachie hapa
endelea kaka uwafundishe wasiojua kula bata,vipi mtwapa ulifika ukaona wasagaji na mashoga wanavyojiachia mchana kweupeee wanapigana mate,huyu lukelo sakafu aje huku asafishe macho
kwa hiyo wewe uliyeenda kufanya uchunguzi huo ndo uko sahihi zaidi?
Wakiuza sura we unapungukiwa nini?
Wakiuza sura we unapungukiwa nini?
Unajuaje simu zao hazina, salio
Nikipigwa sana na jua lazima nika cool off then narudi tena kupigwa jua. Usifanye mchezo AC ya bure.
mkuu nielekeze nije kesho jioni sawa