lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
- Thread starter
- #121
Huna Kazi? "Si Bora Ununue Gazeti Ujippepppeee!!"
ndoroboooooo!!
Huna Kazi? "Si Bora Ununue Gazeti Ujippepppeee!!"
mambo vp mkuu
tena wengine wanaazima mpaka magari wanaenda kuuzia sura mlimani city
Wanaenda kunua dawa ya mswaki au sabuni ya kuogea lol kwa mangi zimeisha.
sasa sisi tufanyaje kama wao wanauza sura ??
mabrazamen ana masista du watakupinga ila ulichokiongea kina ka ukweli flani
Mabrazamen ana masista du watakupinga ila ulichokiongea kina ka ukweli flani