Wauza sura Mlimani City

Wauza sura Mlimani City

hata mimi huwa na enjoy kwenda kuzugazuga pale, kila mtu na starehe yake
 
Mimi kiukweli japo siishi Dar lakini hujisikia raha sana siku za weekend kwenda kuzurula hata kama nina elfu moja ya maji. Kukaa mfano dukani siku 6 ni sawa na jela hivyo katika wauza sura na Mimi ongezea.
 
jamani nimegundua watu wengi wanaoenda mlimani city wanakua hawana issue ya maana zaidi ya kwenda kuuza sura, iko hivi ukifika mlimani city utawakuta mabrazamen na masista duu kibao wanatembeatembea tu bila mpango wowote atashangaa hiki mara kile atakaa chini anapiga miayo ya njaa mara atajifanya yupo bize na kismart phone cha mchina kumbe hakina salio lolote,baada ya muda watanunua ice cream za watoto watalambalamba. wakimaliza kuuza sura wataondoka zao. wakuu mkitaka kuamini nendeni mlimani city mtawaona .jamani nendeni mlimani city mkiwa na issue za maana na sio kuuza sura tu.

hii ya kuuza sura wao,wewe inakuadhiri vipi mkuu,samahani lakini #mtembea bure si sawa na mkaa bure ☺☺☺☺
 
Mimi kiukweli japo siishi Dar lakini hujisikia raha sana siku za weekend kwenda kuzurula hata kama nina elfu moja ya maji. Kukaa mfano dukani siku 6 ni sawa na jela hivyo katika wauza sura na Mimi ongezea.

tayari mkuu idadi inaongezeka hapa
 
Jamani nimegundua watu wengi wanaoenda Mlimani City wanakuwa hawana issue ya maana zaidi ya kwenda kuuza sura.

Iko hivi, ukifika Mlimani City utawakuta mabrazamen na masista duu kibao wanatembeatembea tu bila mpango wowote atashangaa hiki mara kile atakaa chini anapiga miayo ya njaa mara atajifanya yupo bize na kismart phone cha mchina kumbe hakina salio lolote,baada ya muda watanunua ice cream za watoto watalambalamba.

Wakimaliza kuuza sura wataondoka zao.

Wakuu mkitaka kuamini nendeni Mlimani City mtawaona .

Jamani nendeni Mlimani City mkiwa na issue za maana na sio kuuza sura tu.

Bwana harusi umerudi. Habari za mwezi asali bro? tupiamo selfie moja tuone ulivyomeremeta
 
Bwana harusi umerudi. Habari za mwezi asali bro? tupiamo selfie moja tuone ulivyomeremeta

ndio mkuu nimerudi sio siri niliwamis sana member wenzangu ila usijali nitatupia za kutosha mkuu utaona mwenyewe kifupi ilikua ni noumaaa
 
kumbe unaelewa mkuu...halafu mwisho wa siku unakuta umenunua hata crisps na kasoda...tayari unakua umechangia

TANGAZO TANGAZO TANGAZO. changia utalii wa ndani kwa kutembelea mlimani city
 
ndio mkuu nimerudi sio siri niliwamis sana member wenzangu ila usijali nitatupia za kutosha mkuu utaona mwenyewe kifupi ilikua ni noumaaa

Lukelo naona tayari umezoea kulala bila chupi na kula tunda la mti wa katikati bila kuombwa vocha au chips. Hongera kwa kuvuta jiko.
Kuna jamaa yangu siku ya kwanza honeymoon alipomaliza kula uroda alimuambia mkewe..CHUKUA HELA YA VOCHA KWENYE SURUALI. mke aliposhangaa ndio jamaa akakumbuka kwamba hiyo hudma ni bure
 
Sometimes mtu unapita kuangalia bei za vitu mbali mbali na kuget angry ndo mana ya windows shopping" thn ukajipange au ujue utapata wapi pesa. Pia kuna offers mbali mbali zinatolewaga kwaio bila kupitia pitia huwez jua . I sapport thm

Kumbe na wewe mzururaji kwa mtoa mada ayaaa na uzee wote huo.!
 
Nipi m/city hapa kfc nauza uza sura kama khna mwenzangu na mimi aje hapa tuuze uze unajnunulia maji unakaa ndani kwenye kiyoyozi na stick yako mdomoni unaangalia vimini vinakatisha.
Maisha yenyewe mafupi haya kila siku unakula vumbi mbagala tuuu aa nyie semeni mtakavyo
 
Back
Top Bottom