Wauza "nyapu" wasajiliwe na walipe kodi. Pato lao kwa mwaka linazidi la utalii

Wauza "nyapu" wasajiliwe na walipe kodi. Pato lao kwa mwaka linazidi la utalii

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,111
Kundi la wafanyabiashara hii kongwe zaidi nchini na duniani ni kubwa mno. Watu hawa wako kila Kijiji/mtaa, kata , wilaya na mkoa. Kama tukiwasajili na wakalipa kodi, kitakuwa chanzo kikubwa sana cha mapato.

Utafiti uliofanywa na taasisi isiyo ya Mahusiano na Unyumba, imebaini kuwa pesa zinazokusanywa na watu hawa kwa mwaka ni nyingi sana zaidi ya zile zinazokusanywa na sekta y utalii.
 
Kundi la wafanyabiashara hii kongwe zaidi nchini na duniani ni kubwa mno. Watu hawa wako kila Kijiji/mtaa, kata , wilaya na mkoa. Kama tukiwasajili na wakalipa kodi, kitakuwa chanzo kikubwa sana cha mapato.

Utafiti uliofanywa na taasisi isiyo ya Mahusiano na Unyumba, imebaini kuwa pesa zinazokusanywa na watu hawa kwa mwaka ni nyingi sana zaidi ya zile zinazokusanywa na sekta y utalii.
Kwa nchi ambayo inasemekana ni ya Sita(6) duniani kwa watu wake kupenda mambo ya dini,sajili hao watu kikurambe😀
 
Back
Top Bottom