miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
dah kweli mkuu,wale jamaa full kusimulianaWanaoliwa sio wenye shida wanaoliwa ni mambo safi hujui hawa madogo hutumia advantage hiyo kupata ganda la ndizi
dah kweli mkuu,wale jamaa full kusimulianaWanaoliwa sio wenye shida wanaoliwa ni mambo safi hujui hawa madogo hutumia advantage hiyo kupata ganda la ndizi
We ukiwakuta wababa was aoshwa na wadada was saloon yaani unakuta mdada kakiweka kichwa cha mwanamme kifuan kwake huku mubaba kafumba mpaka macho anasikilizia utamuuukwanini hivyo mkuu
Hapo chacha...umeonaee anataka atujumuishe wote sisi wake za watu...Mtoa mada kichwa cha habari kilitakiwa kisomeke hivi "wauza nguo za kike na urembo wanavyomla mke wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Apambane na wauza urembo wanaye mlia mkeweHapo chacha...umeonaee anataka atujumuishe wote sisi wake za watu...
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha sema mke anauma aiseeWe ukiwakuta wababa was aoshwa na wadada was saloon yaani unakuta mdada kakiweka kichwa cha mwanamme kifuan kwake huku mubaba kafumba mpaka macho anasikilizia utamuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sasa ndio gumzo la kitaa hilo yani I wish ungekuwa karibu nikuonyeshe picha za mke wa mheshimiwa aliyeliwadah kweli mkuu,wale jamaa full kusimuliana
Sanaaaaaaa uwiiiihahaha sema mke anauma aisee
Umeona eeee hata wewe ukiolewa mbona watakunyemelea kwasasa hawakuwezi wanajua hutatoa kirahisi na pesa hutoi but hawa wake za watu wa sasa wanaliwa sana aisee yani mpaka kinyaaKwa style hiyo mkuu wataliwa wengi sie masingle girls hawatuwezi ngoja waendelee kula cheap product/wake za wa tu mana sikuhizi wamekuwa vitonga vya wadogo zetu mxieeeeew !
Ningelikuwa dume hata mimi nisingewaacha mana sio kwa kujirahisha huko
Jipe moyo tu ila siku moja utaukumbuka uzi huu wakati huo utakuwa unalia na kusaga meno
Hapo chacha...umeonaee anataka atujumuishe wote sisi wake za watu...
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo mume kaamua vp?Sanaaaaaaa uwiiii
Mume haumi kwasababu wanaume wako wengi ee?hahaha sema mke anauma aisee
Kama hizo ndo mbinu zao, basi ni dhahiri kwamba wataishia kuzunguka na nguo maisha yote kwani wanawake wa kuhonga hawaishi....Sio sawa tu chukua tahadhari sio mwisho wa siku unapigiwa unarudi tena kuja kutulilia
Ndio mbinu zenu nimewastukia
Hata mimi nashangaamwanamke kamili unaruhusu vipi mkeo apakwe rani na midume wenzio kama sio ubwege